kwan ulivokua unamtongoza ulikua umefumba macho???.....leo ndo unagundua kwamba hafai????Jamani,mapenzi hayalazimishwi,sasa mtu kama namuona hanifai tena,ya nini kuendelea kumdanganya?
Nimechukia
Aisee umeandika kwa hisia.......
Bwana yesu asifiwe enyi watu wa Mungu!
Wakuu,kuna binti nilimuahidi kuwa nitamuoa pindi atakapomaliza chuo,anamaliza chuo mwezi huu 7,nilimpa hii ahadi hewa ili niliendelee kumtafuna kisela tu,kiukwel binti wa watu kanionyesha respect na kunijali kipindi chote hiki alichokua masomoni.lakini me sina hata chembe ya mapenz ya dhati kwake na naona sio wa hadhi yangu,sasa cku za hivi karibuni ndio naona mapenzi yake kwangu yameongezeka x2 zaidi ya mwanzo,na anaonekana bado anaikumbuka ile ahadi ya kuoana nilyompa miaka mitatu iliyopita wkt ndio anaenda kuanza chuo maana kama leo kaniambia eti kaota kuwa amekua officially mke wangu maana kaota tuko kanisan tunafunga ndoa.sasa wakuu,mie nataka nimuache huyo manzi solemba kwenye mataa,kwa kifupi nataka kuingia mitini.nitumie njia gani kumkwepa wakuu?
NB:kama huna cha kuchangia,pita kimya kimya tu ili tusikwazane.
Hapana mkuu,kama mtu huna future naye kanini uharibu maisha yake.?hapana,sisi ni watu poa sana.
Bwana yesu asifiwe enyi watu wa Mungu!
Wakuu,kuna binti nilimuahidi kuwa nitamuoa pindi atakapomaliza chuo,anamaliza chuo mwezi huu 7,nilimpa hii ahadi hewa ili niliendelee kumtafuna kisela tu,kiukwel binti wa watu kanionyesha respect na kunijali kipindi chote hiki alichokua masomoni.lakini me sina hata chembe ya mapenz ya dhati kwake na naona sio wa hadhi yangu,sasa cku za hivi karibuni ndio naona mapenzi yake kwangu yameongezeka x2 zaidi ya mwanzo,na anaonekana bado anaikumbuka ile ahadi ya kuoana nilyompa miaka mitatu iliyopita wkt ndio anaenda kuanza chuo maana kama leo kaniambia eti kaota kuwa amekua officially mke wangu maana kaota tuko kanisan tunafunga ndoa.sasa wakuu,mie nataka nimuache huyo manzi solemba kwenye mataa,kwa kifupi nataka kuingia mitini.nitumie njia gani kumkwepa wakuu?
NB:kama huna cha kuchangia,pita kimya kimya tu ili tusikwazane.
Eti umenza na Yesu. Tekeleza ahadi acha longolongoBwana yesu asifiwe enyi watu wa Mungu!
Wakuu,kuna binti nilimuahidi kuwa nitamuoa pindi atakapomaliza chuo,anamaliza chuo mwezi huu 7,nilimpa hii ahadi hewa ili niliendelee kumtafuna kisela tu,kiukwel binti wa watu kanionyesha respect na kunijali kipindi chote hiki alichokua masomoni.lakini me sina hata chembe ya mapenz ya dhati kwake na naona sio wa hadhi yangu,sasa cku za hivi karibuni ndio naona mapenzi yake kwangu yameongezeka x2 zaidi ya mwanzo,na anaonekana bado anaikumbuka ile ahadi ya kuoana nilyompa miaka mitatu iliyopita wkt ndio anaenda kuanza chuo maana kama leo kaniambia eti kaota kuwa amekua officially mke wangu maana kaota tuko kanisan tunafunga ndoa.sasa wakuu,mie nataka nimuache huyo manzi solemba kwenye mataa,kwa kifupi nataka kuingia mitini.nitumie njia gani kumkwepa wakuu?
NB:kama huna cha kuchangia,pita kimya kimya tu ili tusikwazane.