Naomba ushauri wa kuanzisha darasa la mafunzo ya computer

mfuga kuku

JF-Expert Member
Jul 14, 2014
750
544
Wanabodi kutokana na hali ya kimaisha kuendelea kuwa ngumu, nimepata wazo la kuanzisha Darasa dogo tu la mafunzo yale ya awali ya computer ikipendeza nianze na computer 10, naomba Ushauri kwa mwenye idea na hii kitu ni

1. Vitu gani ambavyo vinahitajika zaidi ya hizo computer?
2. Naweza kuongeza na kitu gani ili kuleta mvuto wa biashara hiyo?
3. Vipi mambo ya Usajili hayawezi kunikaba? endepo kama sitasajili?
4. Ni kitu gani kingine naweza kuongeza ktk biashara hiyo na vikaenda sambamba?
5. Mawazo yote yenye kunijenga nayapokea nayakaribisha!

Natanguliza Shukrani
 
Wanabodi kutokana na hali ya kimaisha kuendelea kuwa ngumu, nimepata wazo la kuanzisha Darasa dogo tu la mafunzo yale ya awali ya computer ikipendeza nianze na computer 10, naomba Ushauri kwa mwenye idea na hii kitu ni

1. Vitu gani ambavyo vinahitajika zaidi ya hizo computer?
2. Naweza kuongeza na kitu gani ili kuleta mvuto wa biashara hiyo?
3. Vipi mambo ya Usajili hayawezi kunikaba? endepo kama sitasajili?
4. Ni kitu gani kingine naweza kuongeza ktk biashara hiyo na vikaenda sambamba?
5. Mawazo yote yenye kunijenga nayapokea nayakaribisha!

Natanguliza Shukrani
Its no longer marketable, watu kujifunza computer bila kuenda kwenye formal system, simu ziliua hiyo biashara ya computer training pamoja na shule za msingi zinafundisha watoto mapema.
 
Wekeza usiogope na uwawekee internet cafe uza na juice vutia biashara yako maana bando ni bei ukifanya hivyo weka na bei 1500 kuanzia asubuhi hadi jioni utapata pesa nyingi sana
 
Its no longer marketable, watu kujifunza computer bila kuenda kwenye formal system, simu ziliua hiyo biashara ya computer training pamoja na shule za msingi zinafundisha watoto mapema.
Kwa hapa Tz bado anaweza fungua kituo cha computer training. Mana sio kila mtu ana adapt vitu vipya, washamba ni wengi sana na hawawezi kuisha haraka.
 
Kwa hapa Tz bado anaweza fungua kituo cha computer training. Mana sio kila mtu ana adapt vitu vipya, washamba ni wengi sana na hawawezi kuisha haraka.
Be blessed Mkuu! Ahsante sana, tena nilikusudia kupita kwenye Shule za Sekondari kwa ajili ya kutangaza kituo na kuweka kiji offer hata cha t-shirt moja simple tu!
 
Be blessed Mkuu! Ahsante sana, tena nilikusudia kupita kwenye Shule za Sekondari kwa ajili ya kutangaza kituo na kuweka kiji offer hata cha t-shirt moja simple tu!
Hamna kitu kinacho katisha tamaa au kurudisha nyuma kama kupoteza mtaji, kwahiyo jitahid kua makini sanaa mkuu.
 
Be blessed Mkuu! Ahsante sana, tena nilikusudia kupita kwenye Shule za Sekondari kwa ajili ya kutangaza kituo na kuweka kiji offer hata cha t-shirt moja simple tu!
Ngoja waje
IMG_20220420_103820_098.jpg


Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu kinacho katisha tamaa au kurudisha nyuma kama kupoteza mtaji, kwahiyo jitahid kua makini sanaa mkuu.
Ahsante kwa Tahadhari, visent vya kudunduliza nipo makini Sana! kwa huku nilipo nna uhakika naweza kupata visent kidogo.
 
Ni wazo zuri sana. Watanzania wengi hawapiti kwenye hizo formal systems. Wengi wa watz hujifanya hujua kila kitu lakini ni kinyume chake. Binafsi nina kituo kama wazo lako na kila mwezi nafundisha walau corporate moja hasa watu wa mabenki, na taasisi za serikali! Cha muhimu wewe hujue hizo applications kwa kiwango cha juu! Humo maofisini watu wameingizwa tu na ndugu zao lkn ujuzi wa soft skills ni 0% keep it up! Sajili kituo, uwe na tin ili uweze kupata kazi za maana!
 
Its no longer marketable, watu kujifunza computer bila kuenda kwenye formal system, simu ziliua hiyo biashara ya computer training pamoja na shule za msingi zinafundisha watoto mapema.
Jamaa anafundisha program za kumpyuta. Wengi wanajua kuplay muziki na muvi.
 
Back
Top Bottom