nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Kutokana na Shughuli zangu za kubangaiza kwenda kombo, huenda nitashindwa kuendelea kumlipia gharama za Chuo Kijana wangu (me) anayechukuwa Diploma ili aweze kuchukua Digrii, naomba msaada ninachotakiwa nikifanye kama Mlezi.
Pamoja na yote ila bado sijamwambia Mlengwa naombeni ushauri wa nitakachomwambia naogopa nisije nikamchanganya zaidi kuliko kutengeneza Saikolojia yake, tunakusanya nguvu pamoja na mwenyewe ili mwakani arudi Chuo.
Pamoja na yote ila bado sijamwambia Mlengwa naombeni ushauri wa nitakachomwambia naogopa nisije nikamchanganya zaidi kuliko kutengeneza Saikolojia yake, tunakusanya nguvu pamoja na mwenyewe ili mwakani arudi Chuo.