otimbiotimbi
Senior Member
- Dec 12, 2019
- 100
- 135
Habari za leo ndugu zangu,
Nimepigiwa simu kuwa mahakamani kuna Summons yangu kwaajili ya kesi ya madai ambapo mdai wangu anakazia hukumu ili aweze kukamata mali zangu, Deni analodai si halisi kama lilivo katika documents ni kubwa sana.
Je, nifanye nini kwa sasa?
Nimepigiwa simu kuwa mahakamani kuna Summons yangu kwaajili ya kesi ya madai ambapo mdai wangu anakazia hukumu ili aweze kukamata mali zangu, Deni analodai si halisi kama lilivo katika documents ni kubwa sana.
Je, nifanye nini kwa sasa?