Karanga Lawfirm
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 161
- 165
Bilashaka hukumu ilishatoka, huna njia nyingine yakuendelea kujadili uhalisia wa deni mbali na kuikatia rufaa hukumu ikiwa kweli unazo nyaraka zinazothibitisha uhalisia wa hicho unachokisema.Habari za leo ndugu zangu,
Nimepigiwa simu kuwa mahakamani kuna Samansi yangu kwaajili ya kesi ya madai ambapo mdai wangu anakazia hukumu ili aweze kukamata mali zangu,Deni analodai si halisi kama lilivo katika documents ni kubwa sana.
Je, nifanye nini kwa sasa?
Ingawa hujaweka wazi swala lilivyokaa kwamapanayake, lakini kwataratibu za kisheria hususani katika swala la madai hizo nyaraka ulipaswa kuziwasilisha kama utetezi kabla ya hukumu kutolewa.
UNAWEZA KUWASILIANA NA MWANASHERIA WAKO ILI AWEZE KUKUONGOZA.