mr sangoyi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 331
- 292
Diploma ya education unaifahamu au unaisikiaga mkuu?? Nikupe Kazi upitie matokeo ya Mwaka wowote then uje na idadi ya gpa ya 3.0 kwenda juu mkuuSijajua kwa Dip aliyosoma. Ila kwa Education, ni rahisi kupata GPA ya 4.0 Level ya Degree ila sio GPA ya 3.0 kwa level ya diploma!!