Ndugu zangu mimi nilihitimu diploma mwka 2009 na kupata GPA ya 2.9 kwa bahati mbaya sikuwa na Pesa ya kujiendeleza kwa kipindi kile kwa maana ata hiyo diploma nilikuwa najisomesha mwenyewe,, nimejaribu kuchanga changa pesa nia ili nirudi shule na nia yangu nisome evening program ili mchana niangaike na shughuli zangu,,,
Sasa najiona nimekwama kwa maana naambiwa sina sifa na uwezo wa kwenda kusoma nje sina,,,
Naombeni ushauri nifanyaje jaman
Sasa najiona nimekwama kwa maana naambiwa sina sifa na uwezo wa kwenda kusoma nje sina,,,
Naombeni ushauri nifanyaje jaman