Kuna mdau hapo juu kaeleza vizuri sana, yafanyie kazi. Lkn pia nakushauri ukiitwa interview uende kimya kimya kafanye kisha kaa kimya. Maana interview nyingi za kibongo zinafanywa for formality tu, wanakuwa wana watu wao tayari. Unless hiyo kampuni mtu mweupe/foreigners ndo wenye maamuzi ya mwisho. Omba Mungu, Fanya tu kisha endelea na mambo yako mengine.
Kufanya kitu kile kile, kwa namna ile ile halafu kutegemea matokeo tofauti ni uwendawazimu (ni tafsiri yangu binafsi isiyo rasmi kwa maneno aliyowahi kuyasema mwanazuoni mmoja).
Katika hizo interview zote ulizofanya, je kila baada ya interview ulikua unafanya analysis na kuibua gaps ulizoziona kwa namna ulivyofanya interview na kujiboresha zaidi kwa interview inayofuata?
You have to be better with each interview that you attend. Is that the case? For example, can you say confidently kuwa you were better in your 9th interview compared to how you performed in your 2nd interview?
Huwa unafanya utafiti kuhusu organization uliyoitwa interview na kuhusu role uliyo apply? Huwa unaenda kwenye interview ukiwa unajua ABCDs za hiyo kampuni na unajua the job description ya nafasi uliyoomba?
Je, huwa unauliza maswali ukipewa nafasi ya kuuliza maswali (mara nyingi at the end of the interview)? Wengi huwa wanapoteza hii nafasi adhimu na kujibu kuwa hawana swali lolote, na hivyo kuwa wamepoteza chance adimu ya kuwaimpress wanaomu interview kwa kuwauliza maswali fikirishi kuhusu kampuni, na kuhusu role aliyoiomba.
What to do now?
1. Nakushauri, 'look in the mirror'. Kaa chini tafakari kwa kina na Fanya analysis Wewe mwenyewe kwa interviews ambazo umehudhuria mapungufu yako yalikua ni yapi? (Be fair and positive to urself). Use a pen and paper and list down ur weaknesses from the analysis of ur interviews, and for each weakness make a plan and decide on how u are going to improve on it
2. List down the commonest interview questions that you have faced so far (write down the commonest 10 questions which are the commonest that you were asked in your interviews)
3. Now, start working on the 10 questions and use various resources to find out the best answers to those questions (use You tube videos, internet sources and various experts in HR sector). Then make sure you have framework answers for those questions.
4. Next time you are invited for an interview, make sure you practise on how to answer such questions and other possible questions kulingana na position. Practise, practise, practise and practise.
I think I have written too much.
mchai
Pambana na kwenye maisha upate top lifePole na hongera ,mie nilikuwa naitwa kila interview tena jina la kwanza kabsa karibia zote ,na written nafanya vyema na sijawah toka top 5 kama wanachukua kuanzia 10 kwenda kwenye oral nimefanya sio chini ya saba kazi. Sipati kabsaa
Ila nikichojifunza nilikuwa Niko very happy kuingia top 10 na sipati frastuation nikikosa kazi kuliko kutoingia top 10 kwan kuna siku sikuingia niliumia vibaya mnoo
Ilaa nilichokuwa najisemea mie sio mbaya kwenye usaili sema sina bahati au siku yangu na njia yangu haijafika ,nafuta machozi naendelea na Mishe mishe huku nikiwa nimeweka msimamo hakuna usaili unaonihusu sintohuzulia au hakuna kukata tamaaaa .yote kwa yote siku database ikanikumbuka Mimi na rafiki angu
Ushuari ;: ukikosa Leo utapata kesho ya Leo sio ridhiki yako msingi endelea kuomba mungu na kutokata tamaa
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Pole na hongera ,mie nilikuwa naitwa kila interview tena jina la kwanza kabsa karibia zote ,na written nafanya vyema na sijawah toka top 5 kama wanachukua kuanzia 10 kwenda kwenye oral nimefanya sio chini ya saba kazi. Sipati kabsaa
Ila nikichojifunza nilikuwa Niko very happy kuingia top 10 na sipati frastuation nikikosa kazi kuliko kutoingia top 10 kwan kuna siku sikuingia niliumia vibaya mnoo
Ilaa nilichokuwa najisemea mie sio mbaya kwenye usaili sema sina bahati au siku yangu na njia yangu haijafika ,nafuta machozi naendelea na Mishe mishe huku nikiwa nimeweka msimamo hakuna usaili unaonihusu sintohuzulia au hakuna kukata tamaaaa .yote kwa yote siku database ikanikumbuka Mimi na rafiki angu
Ushuari ;: ukikosa Leo utapata kesho ya Leo sio ridhiki yako msingi endelea kuomba mungu na kutokata tamaa
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Nilitaka kuweka maneno.. Naona umechambua vema sana.Kufanya kitu kile kile, kwa namna ile ile halafu kutegemea matokeo tofauti ni uwendawazimu (ni tafsiri yangu binafsi isiyo rasmi kwa maneno aliyowahi kuyasema mwanazuoni mmoja).
Katika hizo interview zote ulizofanya, je kila baada ya interview ulikua unafanya analysis na kuibua gaps ulizoziona kwa namna ulivyofanya interview na kujiboresha zaidi kwa interview inayofuata?
You have to be better with each interview that you attend. Is that the case? For example, can you say confidently kuwa you were better in your 9th interview compared to how you performed in your 2nd interview?
Huwa unafanya utafiti kuhusu organization uliyoitwa interview na kuhusu role uliyo apply? Huwa unaenda kwenye interview ukiwa unajua ABCDs za hiyo kampuni na unajua the job description ya nafasi uliyoomba?
Je, huwa unauliza maswali ukipewa nafasi ya kuuliza maswali (mara nyingi at the end of the interview)? Wengi huwa wanapoteza hii nafasi adhimu na kujibu kuwa hawana swali lolote, na hivyo kuwa wamepoteza chance adimu ya kuwaimpress wanaomu interview kwa kuwauliza maswali fikirishi kuhusu kampuni, na kuhusu role aliyoiomba.
What to do now?
1. Nakushauri, 'look in the mirror'. Kaa chini tafakari kwa kina na Fanya analysis Wewe mwenyewe kwa interviews ambazo umehudhuria mapungufu yako yalikua ni yapi? (Be fair and positive to urself). Use a pen and paper and list down ur weaknesses from the analysis of ur interviews, and for each weakness make a plan and decide on how u are going to improve on it
2. List down the commonest interview questions that you have faced so far (write down the commonest 10 questions which are the commonest that you were asked in your interviews)
3. Now, start working on the 10 questions and use various resources to find out the best answers to those questions (use You tube videos, internet sources and various experts in HR sector). Then make sure you have framework answers for those questions.
4. Next time you are invited for an interview, make sure you practise on how to answer such questions and other possible questions kulingana na position. Practise, practise, practise and practise.
I think I have written too much.
mchai
Well, to each his own.
Maana na mimi pia kazi zote nilizopata so far (nimeshafanya kazi mashirika matano so far); Zote nimezipata kwa kupitia kuitwa interview na kufaulu interview, na sijawahi kupata kazi kwa connection. King_mwanamalundi[/US
[/QUOTE]
Comments za Jamiiforums.Well, to each his own.
Maana na mimi pia kazi zote nilizopata so far (nimeshafanya kazi mashirika matano so far); Zote nimezipata kwa kupitia kuitwa interview na kufaulu interview, na sijawahi kupata kazi kwa connection. King_mwanamalundi
Huo ndo ukweli wangu mkuu kwa nini nidanganye?Comments za Jamiiforums.
kupata kazi kwa connection sio kwamba huna uwezo. Semeni tu ukweli.
Soma Uzi wangu huu hapa kijanaHuo ndo ukweli wangu mkuu kwa nini nidanganye?
Kuna uzi wangu mmoja nimeelezea kwa kirefu sana juu ya hustle zangu za interviews na kutafuta kazi.... Nitakuwekea link.
Sio kwamba sijawahi kudunda interviews, nimedunda nyingi mnooo.....! Ila pia ni ukweli kuwa sijawahi pata kazi kwa connections. That is my truth. Uamuzi ni wa kwako, endelea kuamini kuwa unakosa kazi kwa sababu unaonewa kwenye interviews kazi zinatolewa kwa kujuana, and do nothing to improve yourself; OR You can also decide that you are going to work on ur interview skills to increase ur chances when u are called for interviews.
siku iz ni connection kaka,,Kufanya kitu kile kile, kwa namna ile ile halafu kutegemea matokeo tofauti ni uwendawazimu (ni tafsiri yangu binafsi isiyo rasmi kwa maneno aliyowahi kuyasema mwanazuoni mmoja).
Katika hizo interview zote ulizofanya, je kila baada ya interview ulikua unafanya analysis na kuibua gaps ulizoziona kwa namna ulivyofanya interview na kujiboresha zaidi kwa interview inayofuata?
You have to be better with each interview that you attend. Is that the case? For example, can you say confidently kuwa you were better in your 9th interview compared to how you performed in your 2nd interview?
Huwa unafanya utafiti kuhusu organization uliyoitwa interview na kuhusu role uliyo apply? Huwa unaenda kwenye interview ukiwa unajua ABCDs za hiyo kampuni na unajua the job description ya nafasi uliyoomba?
Je, huwa unauliza maswali ukipewa nafasi ya kuuliza maswali (mara nyingi at the end of the interview)? Wengi huwa wanapoteza hii nafasi adhimu na kujibu kuwa hawana swali lolote, na hivyo kuwa wamepoteza chance adimu ya kuwaimpress wanaomu interview kwa kuwauliza maswali fikirishi kuhusu kampuni, na kuhusu role aliyoiomba.
What to do now?
1. Nakushauri, 'look in the mirror'. Kaa chini tafakari kwa kina na Fanya analysis Wewe mwenyewe kwa interviews ambazo umehudhuria mapungufu yako yalikua ni yapi? (Be fair and positive to urself). Use a pen and paper and list down ur weaknesses from the analysis of ur interviews, and for each weakness make a plan and decide on how u are going to improve on it
2. List down the commonest interview questions that you have faced so far (write down the commonest 10 questions which are the commonest that you were asked in your interviews)
3. Now, start working on the 10 questions and use various resources to find out the best answers to those questions (use You tube videos, internet sources and various experts in HR sector). Then make sure you have framework answers for those questions.
4. Next time you are invited for an interview, make sure you practise on how to answer such questions and other possible questions kulingana na position. Practise, practise, practise and practise.
I think I have written too much.
mchai
Unatemaga madini sana humu jf. Endelea kutumezesha mkuu tupo pamojaKufanya kitu kile kile, kwa namna ile ile halafu kutegemea matokeo tofauti ni uwendawazimu (ni tafsiri yangu binafsi isiyo rasmi kwa maneno aliyowahi kuyasema mwanazuoni mmoja).
Katika hizo interview zote ulizofanya, je kila baada ya interview ulikua unafanya analysis na kuibua gaps ulizoziona kwa namna ulivyofanya interview na kujiboresha zaidi kwa interview inayofuata?
You have to be better with each interview that you attend. Is that the case? For example, can you say confidently kuwa you were better in your 9th interview compared to how you performed in your 2nd interview?
Huwa unafanya utafiti kuhusu organization uliyoitwa interview na kuhusu role uliyo apply? Huwa unaenda kwenye interview ukiwa unajua ABCDs za hiyo kampuni na unajua the job description ya nafasi uliyoomba?
Je, huwa unauliza maswali ukipewa nafasi ya kuuliza maswali (mara nyingi at the end of the interview)? Wengi huwa wanapoteza hii nafasi adhimu na kujibu kuwa hawana swali lolote, na hivyo kuwa wamepoteza chance adimu ya kuwaimpress wanaomu interview kwa kuwauliza maswali fikirishi kuhusu kampuni, na kuhusu role aliyoiomba.
What to do now?
1. Nakushauri, 'look in the mirror'. Kaa chini tafakari kwa kina na Fanya analysis Wewe mwenyewe kwa interviews ambazo umehudhuria mapungufu yako yalikua ni yapi? (Be fair and positive to urself). Use a pen and paper and list down ur weaknesses from the analysis of ur interviews, and for each weakness make a plan and decide on how u are going to improve on it
2. List down the commonest interview questions that you have faced so far (write down the commonest 10 questions which are the commonest that you were asked in your interviews)
3. Now, start working on the 10 questions and use various resources to find out the best answers to those questions (use You tube videos, internet sources and various experts in HR sector). Then make sure you have framework answers for those questions.
4. Next time you are invited for an interview, make sure you practise on how to answer such questions and other possible questions kulingana na position. Practise, practise, practise and practise.
I think I have written too much.
mchai
Unaona sasa mkuu? Hayo ndo mambo ya kuyafanyia kazi sasa brother, sio kulalama kwamba kazi ni za kujuana, sijui connections.Nashuku saaana tena saaana kwa ushauri wako mkuu naiman nitaufanyia kazi kuanzia ivi sasa na juu yaa kuulizwa katika interview unaswali? Ni kweli nimekutana nalo saana ili swali mwisho wa mahojiano mala ya mwisho nkumbuka ilikua arusha, nikawajibu sina swali.
Umejuaje hayatamsaidia?Mkuu uliyoyaongea yana ukweli lakini kwa huyu mtoa mada hayatamsaidia.
Atakesha mwaka mzima lakini hayatamsaidia.
Kwa maelezo yake anakwambia interviews zote anazoitwa anaperform vizuri tu na haoni ugumu wowote wa maswali lakini kwenye kazi haitwi.
Maana yake kwenye hizo taasisi husika wanachomeka watu wao kwa kujuana ndio kitu kinachomsumbua huyu kijana.
Kwa hiyo mimi siwezi kumshauri kutoa rushwa ila ajitahidi kutengeneza connection na watu mbalimbali pia awe anaomba kazi kwenye makampuni ya aina tofauti tofauti Mungu atambariki atafanikiwa jambo lake.