hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Aiseee hivi viumbeMambo ya mbao na bati tuache kidogo, tutaendelea baadaye!,
Turudi nyuma kidogo kipindi nimerudi safari ile 2013, kwa bahati mbaya sana ilitokea tu nimeshika simu yake, sielewi nini kilinifanya niishike ile simu? Lakini ni Mungu tu kwa uwezo wake (hivi vitu wakati mwingine niMungu tu mwenye uwezo wa kukuonyesha hata ufanye mbinu gani za kutaka kujua au kuficha muda utafika Mungu atakuonyesha tu)