Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Mambo ya mbao na bati tuache kidogo, tutaendelea baadaye!,

Turudi nyuma kidogo kipindi nimerudi safari ile 2013, kwa bahati mbaya sana ilitokea tu nimeshika simu yake, sielewi nini kilinifanya niishike ile simu? Lakini ni Mungu tu kwa uwezo wake (hivi vitu wakati mwingine niMungu tu mwenye uwezo wa kukuonyesha hata ufanye mbinu gani za kutaka kujua au kuficha muda utafika Mungu atakuonyesha tu)
Aiseee hivi viumbe
 
Naendelea kule mbao na bati,

Sasa pesa 5M haitoshi kupiga bati lakini sina mpango tena wa kuongezea kiasi kilichobaki kama hicho kwa siku za karibuni maana sasa madeni yapo mpaka shingoni, naogopa hata familia sasa itanishinda, hasa karo za shule, lakini sasa kuna uwezekano wa mke mkubwa kuona mambo hapa hayapo sawa labda huyu mwanaume ana kitu sio cha kawaida
Dah pole sana
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda, nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja

Sio kwamba nina pesa nyingi kiasi hicho lakini waswahili wanasema maji ukishayavulia nguo huna budi kuyaoga,

Sasa umeshawaingiza huko inabidi tu waendelee na mimi meenyewe umri ndio nnasogemea, na kustaafu Ndio huko kunapiga hodi,

Vijana huko makazini ndio kila siku wanakuuliza ‘utastaafu lini ‘ wakikuona unakopa hata sh 100000 wanakushangaa kweli, maana wanajua una mabillion bank.

Hata ukiwaambia jamani nasomesha, wanakuuliza mpaka sasa hivi una somesha tu? Ee ulichelewa kuzaa, na anayekuuliza hivyo ana miaka 30 hata mke hana, sasa anafikiri mpaka apate mtoto wa 3 tu atakuwa na umri gani?
Mpaka mtoto wa mwisho amalize chuo,

Mimi sasa mwaka kesho mtoto wa tatu anamaliza chuo, na nitakuwa na 51 Mungu akijalia huyu wa form 4 naye amalize chuo nitakuwa na 55, sio mbaya sana

Ok
Sasa pesa ndio hiyo imepotea kwenye kuku,

Wazo lililoniijia haraka baada ya kutafakari sana ni KUPIGA BEI ILE NYUMBA,

Sasa nitamshawishi vipi mwenzangu? Ikawa sasa ni ishu.
Ukitilia maana pale ameshakaa zaidi ya miaka kumi, na ameshajenga mtandao wa kutosha na akina mama wenzake wenye nyumba na kulinga juu,

Ila sasa kabla ya yote hayo kuna mambo yalikuwa yananiudhi mimi binafsi mpaka nikawa naona wazo la kijana linapata nguvu, alikuwa anapenda sana kusifisifia nyumba za watu, kuanzia nyumba imeisha vizuri, ina garden, mala gari nzuri, ingawa hata mimi nilikuwa na gari ya kutembelea baadaye nikaipiga bei,

Mala watu wanamsema kwa kuwa yeye ni binti mdogo kwa nini anakubali kuwa nyumba ndogo, na hivyo vyote ananieleza,
Mimi nikawa namjibu wewe angalia familia yako, kama ni watoto unao, kama shule nzuri hata watoto wako wanasoma shule nzuri, wakati meingine hata kuwazidi wakwao, una as vizuri, mimi nakupenda, unakula vizuri, na hili la kula kuna hata ndugu waliolewa kabisa makanisani , wakija kumtembelea pale Ndio huwa kipindi cha kubadili mboga,

Sasa nikiona amezidi namuuliza niambie hapa wanaokusema wewe, alivyonitajia mpaka nikashangaa, mmoja mme kwa mwaka anakaa hapo nyumbani kwa wiki mbili tu, mwingine mmewe alishafariki muda mwingi yupo baa, mwingine na mume wake wapo wanauza genge la nyanya pamoja. Watoto hata nguo za kushindia shida Mwingine kila siku na mumewe ugonvi, sasa namuuliza wanakuzidi nini hao mpaka uumie na maneno yao,

Nikamwambia PENDA MME NA WATOTO WAKO, hayo mengine ni mwembwe tu za hapa duniani, maisha ni wewe mwenyewe unayachukuliaje, ukiwa wanazidi waambie mimi nampenda huyu huyu.

Lakini nikaona tena yanazidi, mala mume wa mama fulani anasema wewe mbaya sana mbona umekutana naye bars Arabia hukumsalimia, nikamuuliza mbona yeye hakunisalimu, hata hivyo kama ni yule mimi nimemzidi umri yeye ndio alitakiwa anisalimie, lakini hili sio tatizo, kumbe huyo bwana kaniona njiani narudi nyumbani usiku wa 3 mimi akili yangu yote ipo nyumbani,

Nikamwambia ukionesha dalili ya kunidharau hata hao watu watatudharau,

Ila kwa ufupi, yule aliyekuwa na nyumba nzuri na garden sasa hivi yupo gerezani, yule mama mmewe wanaonana kwa mwaka wk mmewe kafariki, yule chapombe naye hatunaye, wale genge ni choka mbaya majuzi nilipita huko,

Hizo taarifa kila alipokuwa akinipa nikawa na Namuuliza umejifunza nini hapo kuhusu maisha,
Lakini haelewi kitu,

Maamuzi niliyochukuani kuuza nyumba na kama nilivyowaeleza hapo mwanzo kile kiwanja kilikuwa eneo linalolipa, kwa hiyo sikupata shida kuuza, na kwa kilikuwa kimeendelezwa sana, kuanzia nyumba kubwa iliyoishia lenta, ile nyumba ya nyumba vitatu tuliyokuwa tukiishi, pamoja na Banda kubwa la kuku, na eneo kubwa tu Kinabalu kwa ajili ya garden na parking hata ya gari ndogo 6

Baada ya yeye kukubali lakini kwa mabishanomakali ,

Tulimpata mteja wa 80M lakini kwa malipo ya 40M kila baada ya miezi 2

Hiyo ilikuwa 2016 November, na ilitakiwa baada ya miezi miwili baada ya kukamilisha malipo tuondoke, ambayo ingekuwa ni April 2017

Kwa ufupi mteja alikuwa muungwana sana,
By December malipo ya kwanza yalikamilika (40,000,000) CASH

nini kilitokea, kumbuka nilikuwa na madeni yanayokaribia mil 15M,
Hapo nyumba imeshauzwa na bado installment 1 ambayo by February lazima ilipwe na sisi tuwaachie wenye nyumba yao, maana sisi hatuna chetu tena, nikama tunarudi kwenye kile chumba kimoja,

JE WEWE KAMA BABA UTAANZA KUFANYA NINI?
Kumbuka kuna katabia fulani nilianza kukaona kwa mke wangu, hasa hasa ka kunidharau na kuwa karibu na vijamaa jamaa.

Na hata wakati mwingine kama simpigii simu anaweza kukaa hata siku nne bila kunitafuta

NGOJA NIONDOE MACHUNGU
ENDELEENI KUNIOMBEA
 
Aisee pole sana. Ungesimama na mke wako wa kwanza mambo yasingekuwa hivyo.
Hii ni dunia ndugu yangu, ila nataka wengine wajifunze kupitia hapa, ila bahati haya mambo mpaka yakupate ndio mtu anaweza kupumua, maana sisi bunadamu wakati mwingine hatueleweki, ukiambiwa hayo maji ya moto ndio kwanza unataka kuweka kidole, sasa ukiungua ndio anawaambie wenzako, JAMANI MAJI YA MOTO HAYO
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja....
Pole sana kamanda
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda...........nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja
Mkuu story bado inaendelea !?
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda...........nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja

Sio kwamba nina pesa nyingi kiasi hicho lakini waswahili wanasema maji ukishayavulia nguo huna budi kuyaoga,

Sasa umeshawaingiza huko inabidi tu waendelee na mimi meenyewe umri ndio nnasogemea, na kustaafu Ndio huko kunapiga hodi,

Vijana huko makazini ndio kila siku wanakuuliza ‘utastaafu lini ‘ wakikuona unakopa hata sh 100000 wanakushangaa kweli, maana wanajua una mabillion bank,
Hata ukiwaambia jamani nasomesha, wanakuuliza mpaka sasa hivi una somesha tu? Ee ulichelewa kuzaa, na anayekuuliza hivyo ana miaka 30 hata mke hana, sasa anafikiri mpaka apate mtoto wa 3 tu atakuwa na umri gani?
Mpaka mtoto wa mwisho amalize chuo,

Mimi sasa mwaka kesho mtoto wa tatu anamaliza chuo, na nitakuwa na 51 Mungu akijalia huyu wa form 4 naye amalize chuo nitakuwa na 55, sio mbaya sana

Ok
Sasa pesa ndio hiyo imepotea kwenye kuku,

Wazo lililoniijia haraka baada ya kutafakari sana ni KUPIGA BEI ILE NYUMBA,

Sasa nitamshawishi vipi mwenzangu? Ikawa sasa ni ishu.
Ukitilia maana pale ameshakaa zaidi ya miaka kumi, na ameshajenga mtandao wa kutosha na akina mama wenzake wenye nyumba na kulinga juu,

Ila sasa kabla ya yote hayo kuna mambo yalikuwa yananiudhi mimi binafsi mpaka nikawa naona wazo la kijana linapata nguvu, alikuwa anapenda sana kusifisifia nyumba za watu, kuanzia nyumba imeisha vizuri, ina garden, mala gari nzuri, ingawa hata mimi nilikuwa na gari ya kutembelea baadaye nikaipiga bei,

Mala watu wanamsema kwa kuwa yeye ni binti mdogo kwa nini anakubali kuwa nyumba ndogo, na hivyo vyote ananieleza,
Mimi nikawa namjibu wewe angalia familia yako, kama ni watoto unao, kama shule nzuri hata watoto wako wanasoma shule nzuri, wakati meingine hata kuwazidi wakwao, una as vizuri, mimi nakupenda, unakula vizuri, na hili la kula kuna hata ndugu waliolewa kabisa makanisani , wakija kumtembelea pale Ndio huwa kipindi cha kubadili mboga,

Sasa nikiona amezidi namuuliza niambie hapa wanaokusema wewe, alivyonitajia mpaka nikashangaa, mmoja mme kwa mwaka anakaa hapo nyumbani kwa wiki mbili tu, mwingine mmewe alishafariki muda mwingi yupo baa, mwingine na mume wake wapo wanauza genge la nyanya pamoja,
Watoto hata nguo za kushindia shida,
Mwingine kila siku na mumewe ugonvi, sasa namuuliza wanakuzidi nini hao mpaka uumie na maneno yao,

Nikamwambia PENDA MME NA WATOTO WAKO, hayo mengine ni mwembwe tu za hapa duniani, maisha ni wewe mwenyewe unayachukuliaje, ukiwa wanazidi waambie mimi nampenda huyu huyu.

Lakini nikaona tena yanazidi, mala mume wa mama fulani anasema wewe mbaya sana mbona umekutana naye bars Arabia hukumsalimia, nikamuuliza mbona yeye hakunisalimu, hata hivyo kama ni yule mimi nimemzidi umri yeye ndio alitakiwa anisalimie, lakini hili sio tatizo, kumbe huyo bwana kaniona njiani narudi nyumbani usiku wa 3 mimi akili yangu yote ipo nyumbani,

Nikamwambia ukionesha dalili ya kunidharau hata hao watu watatudharau,

Ila kwa ufupi, yule aliyekuwa na nyumba nzuri na garden sasa hivi yupo gerezani, yule mama mmewe wanaonana kwa mwaka wk mmewe kafariki, yule chapombe naye hatunaye, wale genge ni choka mbaya majuzi nilipita huko,

Hizo taarifa kila alipokuwa akinipa nikawa na Namuuliza umejifunza nini hapo kuhusu maisha,
Lakini haelewi kitu,

Maamuzi niliyochukuani kuuza nyumba na kama nilivyowaeleza hapo mwanzo kile kiwanja kilikuwa eneo linalolipa, kwa hiyo sikupata shida kuuza, na kwa kilikuwa kimeendelezwa sana, kuanzia nyumba kubwa iliyoishia lenta, ile nyumba ya nyumba vitatu tuliyokuwa tukiishi, pamoja na Banda kubwa la kuku, na eneo kubwa tu Kinabalu kwa ajili ya garden na parking hata ya gari ndogo 6

Baada ya yeye kukubali lakini kwa mabishanomakali ,

Tulimpata mteja wa 80M lakini kwa malipo ya 40M kila baada ya miezi 2

Hiyo ilikuwa 2016 November, na ilitakiwa baada ya miezi miwili baada ya kukamilisha malipo tuondoke, ambayo ingekuwa ni April 2017

Kwa ufupi mteja alikuwa muungwana sana,
By December malipo ya kwanza yalikamilika (40,000,000) CASH

nini kilitokea, kumbuka nilikuwa na madeni yanayokaribia mil 15M,
Hapo nyumba imeshauzwa na bado installment 1 ambayo by February lazima ilipwe na sisi tuwaachie wenye nyumba yao, maana sisi hatuna chetu tena, nikama tunarudi kwenye kile chumba kimoja,

JE WEWE KAMA BABA UTAANZA KUFANYA NINI?
Kumbuka kuna katabia fulani nilianza kukaona kwa mke wangu, hasa hasa ka kunidharau na kuwa karibu na vijamaa jamaa.

Na hata wakati mwingine kama simpigii simu anaweza kukaa hata siku nne bila kunitafuta

NGOJA NIONDOE MACHUNGU
ENDELEENI KUNIOMBEA
Una lako jambo! Huchomoki! Umenasa!

Bi mdogo anasubiria mgao wa kikokotoo.

R.I.P Mengi R.I.P Dr P Ng'wandu.
Hakuna jipya chini ya jua!
Jasiri haachi asili, huna cha kufanya!
Utafanya vile atakavyo bimdogo, COZ unataka kuonyesha uwezo wako kummudu na kummiliki!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Mkuu punguza kiherehere soma mpk atakapomaliza ndio uje na ngonjera zako.
Una lako jambo! Huchomoki! Umenasa!

Bi mdogo anasubiria mgao wa kikokotoo.

R.I.P Mengi R.I.P Dr P Ng'wandu.
Hakuna jipya chini ya jua!
Jasiri haachi asili, huna cha kufanya!
Utafanya vile atakavyo bimdogo, COZ unataka kuonyesha uwezo wako kummudu na kummiliki!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Itakuwa hv:

Bi mdogo baada ya kuona nyumba imeuzwa na status yake mtaani kwa washirika kuonekana km imeshuka hv, basi atataka kumharibia Mzee Kwa bi mkubwa.

Pia, watoto wake aliozaa nao watatumika vilivyo na bi mdogo.

Mzee Baba kiuchumi utakuwa umeyumba mno mno na bi mdogo hatakuwa na uvumilivu wowote kwako

Suala likifika kwa bi mkubwa litakuwa suala la Moto sana infact bi mkubwa atakuwa disappointed SANA.

Familia ya bi mkubwa hasa watoto na Jamii nyingine iliyopo kwenye circle yako itakuwa disappointed mno.

Washkaji, ndugu na jamaa wengine watakuelewa tofauti at the end life goes on

Warren Buffet aliwahi kusema "....it takes 20 years to build reputation but it takes one minute to ruin it...."

Kwa minajili ya kujifunza kwa vijana wachanga kimaisha, Je nini kilipaswa kufanyika kabla kisa hakijafika hapa? Tusubiri mwishowe wa kisa, tuone


Ushauri wetu kwako ni upi? Ni hekima na busara kusubiri mwisho wa kisa kizima, lkn haya matatu hayana conditions:

One,
fight for bi mkubwa regardless

Two,
fight for your kids (wote wa bi mdogo na bi mkubwa)

Three,
Achana na bi mdogo akatafute maisha yake mengine, tena asitake mazoea na wewe

Tunaendelea kufuatilia kisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom