- Thread starter
- #121
Captrait ,Itakuwa hv:
Bi mdogo baada ya kuona nyumba imeuzwa na status yake mtaani kwa washirika kuonekana km imeshuka hv, basi atataka kumharibia Mzee Kwa bi mkubwa...
Nashukuru bado hajafikiria kuniharibia huko ,
2, hilo la Watoto nakuja huko
3Kiuchumi Alhadulilah, pesa ya kula ipo, ipo ndio hivyo uchumi wa Magufuli na Covid 19
4.hilo la bi mkubwa ndio naliogpa sana, lakini bado tutafika huko
5, hasa waliokufa karibu na mimi ni kweli kabisa, pote huko tutafika
6, kama ulivyomnukuu Warren Buffet, ni kweli ndio maana ya kuwa hapa, maana hata mji nataka kuukimbia, hiyo ndio inajengeka kichwani sasa hivi
7. Sawa hayo matatizo ya mwisho, tutaona mwishoni kabisa,
Lakinimpaka hapo ushauri mzuri sana nipenda