Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

Itakuwa hv:

Bi mdogo baada ya kuona nyumba imeuzwa na status yake mtaani kwa washirika kuonekana km imeshuka hv, basi atataka kumharibia Mzee Kwa bi mkubwa...
Captrait ,
Nashukuru bado hajafikiria kuniharibia huko ,
2, hilo la Watoto nakuja huko
3Kiuchumi Alhadulilah, pesa ya kula ipo, ipo ndio hivyo uchumi wa Magufuli na Covid 19
4.hilo la bi mkubwa ndio naliogpa sana, lakini bado tutafika huko
5, hasa waliokufa karibu na mimi ni kweli kabisa, pote huko tutafika
6, kama ulivyomnukuu Warren Buffet, ni kweli ndio maana ya kuwa hapa, maana hata mji nataka kuukimbia, hiyo ndio inajengeka kichwani sasa hivi
7. Sawa hayo matatizo ya mwisho, tutaona mwishoni kabisa,
Lakinimpaka hapo ushauri mzuri sana nipenda
 
Ushauri wenu ni muhimu sana.

Umri wangu ni miaka 50, nimeoa mke kanisani huu ni mwaka wa 25 naishi naye na tumejaliwa watoto wanne, wa kwanza na wapili wamemaliza tayari chuo kikuu na wa tatu yupo chuo kikuu mwaka wa pili...
Kumbe bado mdogo muulize Mohamed Said
 
Mkuu pole sana,ushauri wangu mke mdogo mtoe katika mahesabu kabisa ila watoto wawe kipaumbele usiwaache kwani kulea mabinti siyo kazi rahisi. Baada ya hapo usiku na mchana sali Mungu akupe uwezo wa kuunganisha hao watoto wawili wa nje na familia yako kubwa. Narudia tena mke mdogo achana nae,ningekuwa wewe hata kulala nae ningeacha atakupa maradhi mzee wangu.
Sawa, hilo lakuunganisha nashindwa nitamwanzaje mke wangu,
Lakini story bado inaendelea
Bado ushauri hapo baadaye utakuwa mzuri zaidi
 
Captrait ,
Nashukuru bado hajafikiria kuniharibia huko ,
2, hilo la Watoto nakuja huko.....
Kaka usijali, we maliza kisa tutakushauri vema hutakaa ujutie.

Haya ni maisha ndugu yangu, na kila mmoja ana mapito yake, lait watu wangesimuliana nadhani yako ungeona nafuu mara dufu zaidi. So, relax wala usiogope kabisa chochote.

Ni kweli kwa muda utaumia na kuteseka lkn yatapita kama mengine yapitayo.
 
Watoto wake sasa ndio wamemaliza la saba, nikawatafutia shule nzuri huko kanda...........nauli kwenda tu ukihumuisha vikorokoro vyote tokea hapa mpaka afike shule kwa mmoja sio chini ya 200000, bado ada ambayo kwa mmoja kila baada ya miezi 3 ni sh500000 na mwingine kila baada ya miezi 3 ni 450000, na wakirudi unatuma pesa kama 100000, kwa mmoja...
Mkuu, kama haya ni ya kweli basi hiyo nyumba uliuza kwa bei ya hasara sana. 80,000,000 by 2016 ni hela ndogo sana ukilinganisha na jinsi ulivyoielezea hiyo nyumba na hilo eneo.

Nyumba yangu yenye vyumba 4 nimeijenga kwa 60,000,000 lakini wala haipo eneo la kishua wala nini. Ipo huku uswazi kabisa how come wewe nyumba yenye kiwanja kikubwa na mazagazaga yote hayo uiuze kwa 80,000,000?
 
Mkuu umejiunga Leo tu jf lakini tayari ushaanza kutuingiza chaka.
Screenshot_20210209-203847.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom