Naomba ushauri: Nichukue ipi kati ya Redmi Xiaomi na Samsung?

Hakika. Hasa ukizingatia ile Pixel experience sasa hivi iko chini sana na OnePlus wametuuza android skin ninayoona iliyobaki inayoboreshwa vizuri kila siku ni One UI.
Nina miliki Pixel kwa sasa ila nina shawishika kuchukua Samsung niijaribu UI yao.
Sasa hivi Google anacopy tu features za skin za android na ku implement kwenye stock.

Sema kama umezoea stock hizi miui na one ui unaweza usizipende.

Motorola, Pixel, Nokia, BBK (oneplus, vivo na oppo), Sony, Asus na baadhi ya gaming phone wana stock like Experience.
 
Sasa hivi Google anacopy tu features za skin za android na ku implement kwenye stock.

Sema kama umezoea stock hizi miui na one ui unaweza usizipende.

Motorola, Pixel, Nokia, BBK (oneplus, vivo na oppo), Sony, Asus na baadhi ya gaming phone wana stock like Experience.
Sababu kuu inayonifanya nipende stock ni ukosefu wa bloat wares & ndicho kitu kinacho niwazisha kama nitaweza ku switch bila shida.
Sony nazikubali sana but the pricing ndo majanga. OnePlus za siku hizi sizielewi hasa ever since walivyoiua Oxygen OS. Nokia sijakutana na zenye reviews nzuri so far labda nifuatilie tena. Oppo & Vivo sizielewi kwa kweli japo sijapata moja wapi nitulie nayo nipime experience yake.
 
Sababu kuu inayonifanya nipende stock ni ukosefu wa bloat wares & ndicho kitu kinacho niwazisha kama nitaweza ku switch bila shida.
Sony nazikubali sana but the pricing ndo majanga. OnePlus za siku hizi sizielewi hasa ever since walivyoiua Oxygen OS. Nokia sijakutana na zenye reviews nzuri so far labda nifuatilie tena. Oppo & Vivo sizielewi kwa kweli japo sijapata moja wapi nitulie nayo nipime experience yake.
Oneplus mbona ni China tu ndo wametoa Oxygen na kuweka color os? Nafkiri Global bado wanatumia OXygen.

Last time nimetumia android 11 yao na bado ilikuwa ni oxygen na hata hii Op 10 mpya nimeona mahala inakuja na Oxygen ila sijafuatilia sana reviews zake.

Mkuu samsung wana Bloatware za kutosha sema siku hizi kuna shizuku na wireless Adb, hata kama Huma root unaweza fanya mambo mengi ya Root including kutoa hizo bloatware.
 
Kwako kati ya MIUI & One UI ipi bora mkuu?
Sina uzoefu sana na Samsung ila ata nikishika tu simu za watu naona Kuwa One UI ina ubora sana compared na software za Simu zingine

MIUI nimeitumia kwenye note 10 Kwa upande wangu nilikuwa like WOW, jamaa Wana features zinavutia sana na kama Mtu ushawahi tumia iphone unaweza shawishika kirahisi kuhamia kwenye MIUI
 
Oneplus mbona ni China tu ndo wametoa Oxygen na kuweka color os? Nafkiri Global bado wanatumia OXygen.

Last time nimetumia android 11 yao na bado ilikuwa ni oxygen na hata hii Op 10 mpya nimeona mahala inakuja na Oxygen ila sijafuatilia sana reviews zake.

Mkuu samsung wana Bloatware za kutosha sema siku hizi kuna shizuku na wireless Adb, hata kama Huma root unaweza fanya mambo mengi ya Root including kutoa hizo bloatware.
Nimesoma mahali kuwa kwa global itaitwa Oxygen OS ila in reality under the hood ni Color OS kitu kinacho wafanya baadhi waamini kuwa labda wana mpango wa kuiua Oxygen moja kwa moja. So kwa experience yako unaiona bado vile vitu vilivyoifanya Oxygen iwe bora bado vipo nifikirie kuicheki hata OP 6/7?

Nafahamu vyema kuhusu bloat wares za Samsung mkuu. Hizo wireless adb & shizuku ndio nazisikia, na kama ndio hivyo itatusaidia sana sie wengine waoga wa kui-brick simu. Maana watu tumeng'ang'ana na Android 10 mpk leo tunashindwa piga custom ROMs kwa uwoga since ndo primary phone.
 
Sina uzoefu sana na Samsung ila ata nikishika tu simu za watu naona Kuwa One UI ina ubora sana compared na software za Simu zingine

MIUI nimeitumia kwenye note 10 Kwa upande wangu nilikuwa like WOW, jamaa Wana features zinavutia sana na kama Mtu ushawahi tumia iphone unaweza shawishika kirahisi kuhamia kwenye MIUI
Yeah hata kwenye hii MIUI 13 naona ndio inazidi kuwa kama iOS. Nadhani wakiweza fix issues za bugs watazidi tesa sokoni maana malalamiko ya hii 13 ni mengi sana mitandaoni.
 
Nimesoma mahali kuwa kwa global itaitwa Oxygen OS ila in reality under the hood ni Color OS kitu kinacho wafanya baadhi waamini kuwa labda wana mpango wa kuiua Oxygen moja kwa moja. So kwa experience yako unaiona bado vile vitu vilivyoifanya Oxygen iwe bora bado vipo nifikirie kuicheki hata OP 6/7?

Nafahamu vyema kuhusu bloat wares za Samsung mkuu. Hizo wireless adb & shizuku ndio nazisikia, na kama ndio hivyo itatusaidia sana sie wengine waoga wa kui-brick simu. Maana watu tumeng'ang'ana na Android 10 mpk leo tunashindwa piga custom ROMs kwa uwoga since ndo primary phone.
Mimi nina OP6T inarun oxygen Android 11 ipo vizuri tu, ni lightweight kama os za Nyuma.Na kama una uwezo i recomend OP 7 ukishindwa Bei Chukua 6T na sio 6.

Pia kuna huu uzi hapa

Mimi nilinunua OP 6T kwa $99 tu ebay (storage 128GB na ram 8gb) ya Tmobile na kutumia hio tutorial kuibadili kuwa international. Then nunua Aliexpress tray ya Dual sim unapata simu kali kwa Bei za Tecno.
 
Mimi nina OP6T inarun oxygen Android 11 ipo vizuri tu, ni lightweight kama os za Nyuma.Na kama una uwezo i recomend OP 7 ukishindwa Bei Chukua 6T na sio 6.

Pia kuna huu uzi hapa

Mimi nilinunua OP 6T kwa $99 tu ebay (storage 128GB na ram 8gb) ya Tmobile na kutumia hio tutorial kuibadili kuwa international. Then nunua Aliexpress tray ya Dual sim unapata simu kali kwa Bei za Tecno.
Hii idea nzuri sana! Ngoja nione namna.
 
Mimi nina OP6T inarun oxygen Android 11 ipo vizuri tu, ni lightweight kama os za Nyuma.Na kama una uwezo i recomend OP 7 ukishindwa Bei Chukua 6T na sio 6.

Pia kuna huu uzi hapa

Mimi nilinunua OP 6T kwa $99 tu ebay (storage 128GB na ram 8gb) ya Tmobile na kutumia hio tutorial kuibadili kuwa international. Then nunua Aliexpress tray ya Dual sim unapata simu kali kwa Bei za Tecno.
Hapa kwenye tray ya dual sim ni kwa hyo op 6t tu ama kwa simu yoyote yenye single line?
 
Back
Top Bottom