Naomba ushauri ndugu zangu

Naomba ushauri ndugu zangu

Ni njaa tu inaonyesha kijana alikua ana jitahidi ku provide ukaleta uchuo chuo sasa usha maliza njaa ina kupiga ume anza kumiss walio kua wana jitokeza kipindi icho una jiona hot.
Huyu amechezea miti na anaona KM zimesonga na hakuna dalili za kupata mwanaume wa maana anaamua kujirudisha kwa mwamba
 
Tukiondoa ugumu wa maisha, Mahusiano ni Sababu ya pili inayoongoza kwa kusababisha Tatizo la Afya ya akili .

Labda ni ngumu kueleweka tho.

Kua mvumilivu, changa karata zako upya. Labda kuna vitu vya kuachwa au kurudiwa ili maisha yaendelee
 
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
No, mm bado nakuwaza sana na nimepitia mengi mno ya kuniumiza tangu ulivyoondoka na mpaka sasa sipo sawa kiakili, tafadhali njoo pm tuongee Japo Akili yangu irudi kuwa sawa
 
..... naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta.....
Baadhi ya wanawake mna Ego sanaaa..!!!
Kwahiyo akianza kukutafuta wewe itakuwa fresh???

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Achana naye, Move on.
Kubali kuwa hiyo meli imeshakuacha
Maisha lazima yaendelee. Unaweza kunicheki PM kwa ushauri zaidi.
 
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Memories na moments mlizokua nazo before kutengana ndo zinakukill you...
 
Una uhakika mkuu?
A lot of women wako Ivo now enzi nipo chuo walikua wanakaa mbali kisa sina chapaa na sio sharobaro baada ya kumaliza unalamba ajila na maisha kuwa safi apo sharobaro kachoka anakuja kukwambia hukuwa serious kipindi kile

Finally ya mwanamke ni miaka 30 baada ya apo kwisha.....
 
A lot of women wako Ivo now enzi nipo chuo walikua wanakaa mbali kisa sina chapaa na sio sharobaro baada ya kumaliza unalamba ajila na maisha kuwa safi apo sharobaro kachoka anakuja kukwambia hukuwa serious kipindi kile

Finally ya mwanamke ni miaka 30 baada ya apo kwisha.....
😅
 
Mh, tafuta jamaa akazitoe coz zinaonekana zimejaa sana.
Umefunga mada, hakuna jambo jengine linalomletea nfadhaiko na sonona zaidi ya hilo.

Akipata dozi atatulia na kumsahau huyo shakubimbi wake.
 
Back
Top Bottom