Naomba ushauri ndugu zangu

Naomba ushauri ndugu zangu

lyajody

Senior Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
158
Reaction score
224
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
 
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Sisi hoja yetu ni ileile,
MAPENZI YAFUTWE.
 
we nenda kichwa kichwa, Kama huja leta mrejesho wa kilio.

Ndio naongea na wewe
FB_IMG_17485073988053354.jpg
 
Unapaswa kufanyakazi zako na mpotezee atakuchezea uch na kukimbia🌹niamini mimi...miaka ya 2000 nilimtongoza mwanadada mmoja akanisumbua sana two years tunahangaika.

Siku moja akakubal nikachapa, nikawa nimebakisha assignment moja kumchunguza kwann alisumbua nikakuta kumbe alitegemea aolewe na mjomba mmoja..yule jamaa alivyooa tu yule mwanamke akahamishia majeshibkwangu. Na mim nikamnawa
 
Mimi ni Binti ambae nikiwa chuo mwaka wa mwisho nilidate na kijana mmoja anaeishi ktk mkoa ambako nilikosomea..

Nilikuwa namchukulia kawaida sana wakati huo hadi nikahitimu na mawasiliano yakapungua kadili siku zilivoenda na Mimi sijauona tatizo hata mawasiliano yalipoisha sikuumizwa wala kuteseka...

Ajabu imepita miaka miwili lkn najikuta naumia sana juu yake na sina mawasiliano nae na nahofia kumtafuta maana atakuwa kwenye mahisiano au ndoa kabisa ..najishangaa ninavomuaza hivi had nakosa usingizi sijawah kumpenda mwanaume kiasi hiki ..

Najiona labda nataka kupata changamoto ya afya ya akili..kwa ambae amewah kupitia shida kama hii anishauri..tatizo nmepata kibarua mkoa ambao nmesomea na tangu nmekuja ndo Hali inazid kuwa mbaya naona noma kumtafuta mahali alipo ataniona najipendekeza maana yeye ndio alianza kuacha kunitafuta..na naamini hana hisia na Mimi lkn najishangaa ninavompenda
Upwiruu ndio unakusumbua... mtafute tu wanaume hawana shida anakupanga fresh tu...
 
upweke unakusumbua, ungekua na bwana hayo yote yasingetokea. kma uashinda ndani bas acha tokanje ukutane na masela
 
Ndo ilivo hata ukionana nae, Ukadate nae for 2 months, ata kubore tena.

Ma x tuna wamiss wakiwa huko huko walipo, Imebaki memories but we don't mingle angain any more
 
Nenda kagongwe kisela halafu uachwe.

Desturi ya wanaume huwa hatukatai kipochi manyoya cha dezo.

Hata kama ameoa atakwambia yupo single ili akuzagamue halafu akuachilie mbali.
 
Hii kauli yako "Nilikua namchukulia kawaida" nyie wanawake siyo wa kuwaamini, inaonekana mwamba alikua anajitutumua kuhudumia lakini kwa sababu ulikua unamchukulia kawaida ulikua huoni hustlers zake na umhimu wake baadae akaamua kujikataa.

Sasa umehangaika huko nje umepigwa sana miti, Kilometer zilisha songa, hakuna dalili za kupata mwanaume wa maana na umejichokea ndiyo unamkumbuka mwamba umrudie, ila unaona aibu namna ya kumuanza kwa sabab ulimuacha kwa nyodo na ulimchukulia Poa.

Muache kijana wa watu usimtafute endelea kuteseka huko. Ulimchukulia kawaida na kuona Hana maana kwako Leo unamtakia wa nini? Kama siyo ukichaa huu basi ni uchawi huu.
 
Back
Top Bottom