Naomba ushauri, nataka kwenda Dubai

Ushauri wangu usiende kwa kiasi hicho,
1.Utalala ktk camp zaidi ya watu sita chumba kimoja, wengi wao watakua wahindi.
2.Watakubagua kwa kuwa wewe ne Mu-Africa
3.Waajiri wengi wa namna hiyo wanakuambia watakupatia huduma ulizozitaja lkn wengi wao hawatimizi, itabidi utoe ktk mshahara wako.
4.Gharama za usafiri ni kubwa.

Kwa ujumla utatumika mpaka uchakae
 
Acha uoga nenda huko Duniani,
Humu waweza kutishwa tishwa sababu wabongo wengi mfumo wetu wa malezi ni kufungiwa ndani na sio kutolewa kuiona Dunia,

Kama kuna mchongo mwingine wanahitaji madereva wa kike nipatie niende.
Mkuu we ni dereva?
 
Atalilipaje bila kutafuta pesa si ndio aende akazitafute ili alipe deni
Ndiyo, ni muhimu kwamba mtu huyo atafute njia za kufanya kazi na kupata pesa za kulipa deni lake kabla ya kufanya maamuzi makubwa ya kifedha kama vile kuhama kwenda nchi nyingine. Hata hivyo, kwa kuwa mwajiri wake anashughulikia gharama za malazi, chakula na bima, hii inaweza kumsaidia kuokoa fedha zake na kuzitumia kulipa deni lake. Ni muhimu pia kwamba atafute ushauri wa wataalamu wa fedha ili kumsaidia kusimamia deni lake na kuunda mpango wa kulipa deni hilo

Labda hatufahamu madhara ya kuwa na madeni. Deni linaweza kuwa hatari kwa sababu linaweza kuleta athari mbalimbali kwenye maisha ya mtu. Hapa ni baadhi ya sababu:
  1. Riba: Kukopa fedha kunaambatana na riba ambayo huongeza gharama ya deni na kufanya kulipa kiasi kikubwa zaidi ya pesa kuliko kiasi cha awali kilichokopwa.
  2. Kupoteza uwezo wa kumudu: Kukopa pesa kunaweza kusababisha kuwa na malipo ya kila mwezi, na kusababisha matatizo ya kifedha iwapo mtu hatapata kipato cha kutosha kulipia madeni.
  3. Kuathiri heshima ya mtu: Kama mtu hawezi kulipa madeni yake, hii inaweza kusababisha kuathiriwa kwa heshima yake na kushusha hadhi yake katika jamii.
  4. Kuathiri uwezo wa kupata mikopo: Kama mtu anashindwa kulipa madeni yake, hii inaweza kusababisha kuwa na rekodi mbaya ya mikopo na hivyo kuathiri uwezo wa kupata mikopo ya baadaye.
Hivyo basi, ni muhimu kuzingatia umuhimu wa kulipa madeni kwa wakati na kutafuta ushauri wa kitaalamu wa kifedha pale inapobidi. Anaweza kumsaidia kuelewa chanzo cha deni na kumpa maelekezo sahihi ya kifedha jinsi ya kufanya mipango ya malipo, kuongeza mapato na kupunguza matumizi ya kila siku ili kuweza kulipa deni lake kwa ufanisi.
 
Ndiyo, ni muhimu kwamba mtu huyo atafute njia za kufanya kazi na kupata pesa za kulipa deni lake kabla ya kufanya maamuzi makubwa ya kifedha kama vile kuhama kwenda nchi nyingine. Hata hivyo, kwa kuwa mwajiri wake anashughulikia gharama za malazi, chakula na bima, hii inaweza kumsaidia kuokoa fedha zake na kuzitumia kulipa deni lake. Ni muhimu pia kwamba atafute ushauri wa wataalamu wa fedha ili kumsaidia kusimamia deni lake na kuunda mpango wa kulipa deni hilo

Labda hatufahamu madhara ya kuwa na madeni. Deni linaweza kuwa hatari kwa sababu linaweza kuleta athari mbalimbali kwenye maisha ya mtu. Hapa ni baadhi ya sababu:
  1. Riba: Kukopa fedha kunaambatana na riba ambayo huongeza gharama ya deni na kufanya kulipa kiasi kikubwa zaidi ya pesa kuliko kiasi cha awali kilichokopwa.
  2. Kupoteza uwezo wa kumudu: Kukopa pesa kunaweza kusababisha kuwa na malipo ya kila mwezi, na kusababisha matatizo ya kifedha iwapo mtu hatapata kipato cha kutosha kulipia madeni.
  3. Kuathiri heshima ya mtu: Kama mtu hawezi kulipa madeni yake, hii inaweza kusababisha kuathiriwa kwa heshima yake na kushusha hadhi yake katika jamii.
  4. Kuathiri uwezo wa kupata mikopo: Kama mtu anashindwa kulipa madeni yake, hii inaweza kusababisha kuwa na rekodi mbaya ya mikopo na hivyo kuathiri uwezo wa kupata mikopo ya baadaye.
Hivyo basi, ni muhimu kuzingatia umuhimu wa kulipa madeni kwa wakati na kutafuta ushauri wa kitaalamu wa kifedha pale inapobidi. Anaweza kumsaidia kuelewa chanzo cha deni na kumpa maelekezo sahihi ya kifedha jinsi ya kufanya mipango ya malipo, kuongeza mapato na kupunguza matumizi ya kila siku ili kuweza kulipa deni lake kwa ufanisi.

Maelezo ni mengi lakini hakuna asiyejua dawa ya Deni ni kulipa, atalipaje kama biashara alizotegemea zimesimama ndio hiyo plan B inakuja hapo,
Akamtafute mtaalam wa kifedha ili amwambie jinsi ya kufanya mipango ya malipo kwani wakati anakopa hakua na mipango? na huyo mtaalam atataka alipwe pia, acha masikhara bhana
 
Maelezo ni mengi lakini hakuna asiyejua dawa ya Deni ni kulipa, atalipaje kama biashara alizotegemea zimesimama ndio hiyo plan B inakuja hapo,
Akamtafute mtaalam wa kifedha ili amwambie jinsi ya kufanya mipango ya malipo kwani wakati anakopa hakua na mipango? na huyo mtaalam atataka alipwe pia, acha masikhara bhana
Sometimes unaweza mcheki hata mwanao na akakuelekeza vizuri.

Maana cha msingi ni
Anaweza kumsaidia kuelewa chanzo cha deni na kumpa maelekezo sahihi ya kifedha jinsi ya kufanya mipango ya malipo, kuongeza mapato na kupunguza matumizi ya kila siku ili kuweza kulipa deni lake kwa ufanisi.
Nakubaliana na wewe dawa ya deni ni kulipa. Hata Tommy Thommas katika nyimbo yake na Stamina Shorwebwenzi na One Six-Yote Tisa, amechana, “…man utabadili njia kwa jirani ufate miba, utabadili line usiwe hewani nikipiga, utakimbia mtaani watakudai kwenye msiba; Yote Tisa dawa ya deni ni kulipa ndio shida”
Sema all in all, mwana acheki kama hiyo million 1 ya kila mwezi inamtosha kufikia malengo yake?… na je hakutakuwa na emergencies za kumfanya akaitumia yote?
Kama majibu ni chanya, na pia alilolisema
Contract wamekutumia usije kaingia kwenye mtego wa Trafficking in person ukaenda kutumikishwa kazi za ndani
…ana contract. Basi ni sawa, jamaa aende zake maana bongo maisha yamemkataa.
 
Wakuu poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32, nimepambana sana bongo nikafanikiwa kujenga kibanda na kununua gari ndogo Mambo yalikuwa vizuri lakini baada ya Samia kuingia madarakani ndipo Mambo yalipoanza kuharibika...
Wezi ni washenzi sana aiseh sitasahau siku napigiwa simu dukani kwangu kumevunjwa wamesomba hadi shanga🤣🤣🤣🤣🤣.

Haya mambo ya kusikia kwa jirani aiseh.
 
Maelezo ni mengi lakini hakuna asiyejua dawa ya Deni ni kulipa, atalipaje kama biashara alizotegemea zimesimama ndio hiyo plan B inakuja hapo,
Akamtafute mtaalam wa kifedha ili amwambie jinsi ya kufanya mipango ya malipo kwani wakati anakopa hakua na mipango? na huyo mtaalam atataka alipwe pia, acha masikhara bhana
Asante Sana kaka
 
Kaka udereva ndio mchongo nilio pata kwa Sasa lakini by profession Mimi ni IT mkuu
Kila la heri kiongozi. Maana isije ikawa kumbe unaenda kutolewa figo, pasipo wewe mwenyewe kujua, halafu mwisho wa siku ukarejeshwa nchini ukiwa ndani ya jeneza.

Kama umejiridhisha hakuna ubabaisha wa aina yoyote ike; basi ungeenda tu. Maana maisha ni popote. Muhimu tu mkono uende kinywani.
 
Back
Top Bottom