stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,216
Dah umeniwahi nilitaka nimpe same advise,kila mara nimekuwa nikiwaasa watu hasa wanoanza haya maswala ya mapenzi kuwa mara karibu zote huwa hayataki ukweli,kwani watu huwa hawapendi kuwa na wapenzi waliotumika sana,sasa ukiweka ukweli hata mtu angekuwa anakupenda kiasi gani ladha yote huwa inaondoka.Kamwe usimwambie mtu ukweli wako wote atakuja kutumia kama silaha dhidi yako kuna mambo yanabaki kuwa yako binafsi