Naomba ushauri mpenzi atishia kuniacha

Naomba ushauri mpenzi atishia kuniacha

Mm ni binti wa miaka 20. Nina mpenzi wangu wa miezi nane. Yy ni bikira lakn mm sio. Sasa inaleta shida nlipomwambia nmesha sex Mara Sita na wanaume watatu tofauti. Basi ni manyanyaso anatishia kuniacha. Kaka na dada zangu naomben ushauri. Pleeeeeaseee. Mimi nampenda kweli na yy anasema ananpenda lakn Hilo swala apo la kusex Mara Sita linamchnganya akili sasa ameniwekea mashaka. Mm Nina uhakika wa afya Yangu niko salama kabisa. Nifanyeje??

Twende tukajiliwze kidogo baby wangu .....
 
Duh hiyo picha yaani huyo 'me yuko dunia nyingine kabisa
 
Hahaaaaaaa etii bkiraa???yan huyu hajawahi ata kucheza kombolelaa...eh mdada usiuseme moyo...!labda ana bkraaa ile nyingne
 
Hii story haina uhalisia...nyie ndo mna multiple IDs.

Hata hivyo wewe kicheche na hujatulia. Miaka 20 ushalalwa na midume watatu? Sipati picha baada ya miaka kumi utalalwa na wangapi...hujatulia kabisa wewe...!
 
Mnatoaga wapi muda ya kupiga story za nyuma za watu ambao umefanya nao huo uashetati???
 
Hapo ushauri rudi katika hao 6 maana salama huna langonliwazi yeye ndohofu yake walesita wakati wowote wanakula mzigo.
 
una miaka 20 tayari umeshalala na wanaume 6 tofauti!!!!!!! wewe ni mala.ya bora akuhaache tu, na kudhiilisha uma.laya wako ndio maana ukamwambia umedugwa dugwa na wala ukushituka na kuona italeta shida maana umeshazoea kuvua vua ilo linguo lako la ndani (no wonder hata uvai kabisa) ,mtoto mjinga sana wewe hivi kuna nini kwenye vyakula siku hizi mbona mitoto imeharibika hivi? yaani 20 umefikisha 6, ukifika 30 nialike kwenye sherehe yako ya kuzaliwa kama utakuwepo
Mimi ni binti wa miaka 20. Nina mpenzi wangu wa miezi nane. Yeye ni bikra lakini mimi sio. Sasa inaleta shida nilipomwambia nimesha sex mara Sita na wanaume watatu tofauti. Basi ni manyanyaso anatishia kuniacha. Kaka na dada zangu naomben ushauri. Mimi nampenda kweli na yeye anasema ananipenda lakini hilo swala apo la kusex Mara Sita linamchnganya akili sasa ameniwekea mashaka. Mimi nina uhakika wa afya yangu niko salama kabisa. Nifanyeje?
 
una miaka 20 tayari umeshalala na wanaume 6 tofauti!!!!!!! wewe ni mala.ya bora akuhaache tu, na kudhiilisha uma.laya wako ndio maana ukamwambia umedugwa dugwa na wala ukushituka na kuona italeta shida maana umeshazoea kuvua vua ilo linguo lako la ndani (no wonder hata uvai kabisa) ,mtoto mjinga sana wewe hivi kuna nini kwenye vyakula siku hizi mbona mitoto imeharibika hivi? yaani 20 umefikisha 6, ukifika 30 nialike kwenye sherehe yako ya kuzaliwa kama utakuwepo

muwe mnasoma uzi hajasema wanaume sita bali kasex mara 6
 
Karne ya 21, BIKRA??? Mmmh... Muulize vizur anaongelea bikra ipi @@vallei
 
issue ya umala.ya inabaki pale pale, mtoto mdogo kujifanya kombakomba sasa anamlilia nani? tena anaona ni mazuri kutangaza hata kwa mchumba wake mpya kwamba yeye ni machine ya kukoboa
muwe mnasoma uzi hajasema wanaume sita bali kasex mara 6
 
Kaisha sex mara sita na wanaume tofauti sasa mie najiuliza kila mwanaume alikuwa anapiga goli ngapi sasa
 
We utamharibu tu mtoto wa watu...
 
yani wewe una miaka 20 sio bikra..... na jamaa ako lazima awe mkubwa kwako na anasema yy bikra..... huyo ana matatizo.... ngumu kuamini kijana wa kiume umri mkubwa kama huo awe bado hajaona rangi.... anakuzingua huyo ni wivu tu unamsumbua ndo mana analalamika.... sasa yy alikuwa anataka unge sex mara ngapi.... hebu muulize.... chakufanya mwambie maisha ya zamani ni ya zamani wewe kwake ni mpya so hizo sita ni historia.... kilichobaki ni kupendana na ku do zaid ya hiyo mara sita
 
Kumbe kukuacha tu mi nilidhania unatishiwa kuuawaa
 
Back
Top Bottom