Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,768
- 20,158
Usimfanyie hivyo, mpe muda andikishiana nae kwa mjumbe kwamba hadi kufikia let say Disemba mosi ulipe pesa yangu laa nitafunga chumba na nitazuia vitu vyako hadi hapo utakapokuja kulipa pesa yangu.
😂 😂 😂