Naomba ushauri: Mpangaji wangu msumbufu kulipa kodi nataka nifungie vitu vyake

Dah sema wenye nyumba wanakuwaga wababe sana huwa wanaona wameyapatia maisha. Halafu watoto wao wakina kuwa wakubwa wanapitia madhila Yale Yale waliyopitia wapangaji wao. Kama unaweza msamehe tu nyumba hayiami utapata mpangaji mwingine.
Sawa kabisa mimi jamaa alishindwa kunilipa shg. 1,500,000/= . akahama na sikumdai mpaka leo. Nyumba ikapata mpangaji mwingine na maisha yanaendelea. Hakuna haja ya kugombana maana akihama nyumba ipo tu.
 
Mwambie ahame kwa nyumba yako, inaonekana huyo mpangaji ameshakua sugu sana hapo mahali, na hawa watu wanajua mahali pa kuchezea akishakuona makubaliano ya Kwenye mkataba

alishayavunja na wewe mwenye nyumba ukaona sawa tu..ndio hapo wanaanza kizungumkuti, anajua kabisa huyu jamaa anaongea hivi lakini hatekelezi anachosisitiza, Mzozo wote ulianzia kwenye mkataba ambao uliingia nae, kwamba kodi inayofuatia ilipwe siku kumi na tano kabla ya muda wake wa kupanga kuisha, yani dhamani ya hiyo huioni tena sababu ya vichaa kama hawo.
Pole mkuu.
 
Nenda taratibu. Ni wanadamu wanakwaza.

Mie nina wa kwangu namdai karibia kodi ya miezi 8. Nasikia anajinasibu kwa wenzie anasema
"YAANI NIACHE KUMLIPIA MWANANGU ADA, NIMLIPE HUYO BOYA, FALA KODI YAKE..."

Namvutia pumzi
Watu wana roho za ajabu mpaka unajiuliza kama mungu yupo mbona anaruhusu roho kama hizo kuwapo.
 
Busara ni kumpa notes alipe ama aondoke nyumba iwe wazi aje mwingine,ukiwa mwenye nyumba ndani ya miezi3 ukiona mtu hajalipa Basi ni vyema ukamtaka muachane tu maana hata Maisha hubadilika anaweza tafuta nyumba atayoimudu kwa muda huu, iwe ni nje ya mji kabisa ambazo kodi ni nafuu sana au maeneo kama mabibo, Manzese, Tandale ,kigogo,buguruni ama Mbagala anaweza pata chumba na sebule KWA 40000 tu na akajihifadhi na kujipanga upya.

Nenda KWA step pia maana naye ni binadamu na anahaki zake,ukikosea tu anaweza kukubadilikia na kukuhamza maana mtu akishmbuliwa na Tatzo la kodi hupatwa na stress sana,hata me pia

Daah mkuu hayo maeneo uliyotaja yamejaa dhiki, ufukara na umasikini ulioambatana na laana kali sana.
 
Unayomdai msamehe. Achana nayo. Ila tu mwambie ahame mpe hata wiki aondoke
 
Wakuu habari:

Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.

Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,

Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,

Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?

Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Kuna jamaa mmoja aligonga mpangaji wake, mpangaji akajilenga na kamimba juu. Kutoa mimba hataki, kuhama nyumba hataki na kulipa kodi hataki.
 
Wakuu habari:

Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.

Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,

Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,

Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?

Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
nimesoma nikacheka kwakuwa kwanza ninakimeo cha kodi cha mwenye nyumba wangu ambaye naenda kumpanga muda si mrefu.
vumilia korona mwisho mwaka huu harafu zitaingia Subaru mambo yatakuwa sawa na hizi tozo ndo kabisa!
 
Hii ndio nzuri
Kuna jamaa yangu alipanga nyumba akakutana na mpangaji mtata ,miezi 6 ikapita bado anakwepa kulipa,akamwambia ondoka bado anasema ili niondoke lazima unipe notice . Mwenye nyumba alichofanya ni kumwita mjumbe mbele ya jamaa akasema nataka kurepair nyumba yangu aondoke ,mafundi wakaanza kutoa bati,chumba ikawa wazi kwa juu halafu akaacha hapo hapo ,mvua ikija au jua likiwaka watajua wenyewe au akiibiwa atajijua ..mbona aliondoka mwenyewe
 
Yaan mkataba wa nyumba kupangisha upitishe Hadi TRA, nayeye akisema simdai si aonyeshe Ushaidi,


Nna Ushaidi wa kieletronic kuwa namdai na anafahamu
Hujui kuwa mkataba inabidi uende Tra ulipiwe withholding tax na stamp duty?
 
Wakuu habari:

Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo Sana,mtu umetumia pesa kibao kuwekeza,Bado Tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.

Ni hivi, Kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, Sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni , alilipa laki nne Bado laki sita, Sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi ,

Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote,na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu,

Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa Deni!!?

Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Mvumilie tu atakulipa au njoo na trekta vunja mabanda yako atahama kwa urahisi sana. Au kunya mavi weka mlangoni mwake atahama haraka.
 
Huu uchumi wa kati umekuja na changamoto kibao kwa wapangaji hasa ukizingatia uchumi wa tokea jiwe hadi sasa uchumi wa tozo, mwambie kama anataka kuendelea aonyeshe commitment kabla mkataba haujaisha....
 
Hakuna Cha kuachana nae mkazie tu kwa namna yoyote. Ujenzi ata Kama ni banda unapasua vichwa. Makazie kabisaa mkuu
 
Back
Top Bottom