Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 2,571
- 3,055
Wakuu habari:
Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo sana, mtu umetumia pesa kibao kuwekeza, bado tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.
Ni hivi, kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni, alilipa laki nne Bado laki sita, sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi.
Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote, na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu.
Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa deni?
Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana
Unajua hizi nyumba za kupangisha zina matatizo sana, mtu umetumia pesa kibao kuwekeza, bado tena unakuja kupangisha majitu ambayo hayajielewi.
Ni hivi, kuna mpangaji wangu now anakaribia miaka miwili kama na nusu kwenye mabanda yangu, sasa huyu tangu kipindi cha Corona ya kwanza hile mambo yake hayajakaa sawa, nilikuwa namdai milioni, alilipa laki nne Bado laki sita, sasa saundi zimekuwa nyingi, mara subiri kidogo, mara week ijayo, mara mwisho wa mwezi.
Sasa nilichofikiria huyu bwana mdogo labda nikuzuia vitu vyake vyote, na kufunga nyumba Hadi hapo atakaponilipa pesa yangu.
Sasa je nikiwa na mjumbe siinatosha kiushaidi kwenda kumtimua hili nifunge nyumba Hadi atakapolipa deni?
Au wazee wenzangu mwashaurije katika hili, maana sitaki kutumia ubabe sheria itanibana