Naomba ushauri kwa hili wana MMU

Naomba ushauri kwa hili wana MMU

binti yako si ni educated kiasi mamii??

kwani akiandika work report ni vibaya? lols..

ila seriously, mpe limit za aina gani za kazi afanye ili apate muda wa kupumzika,

usimfanye mrembo wetu akose amani ya kuwa likizo!..

btw, mwambie excel anamsalimia!,,.. lols!
ha haaaa, uzuri tu mrembo anapenda kukaa na mamake, angeshahama nyumba.........
nitampangia kazi ili akimaliza apumzike na kujisomea
 
Kukaa na dada muda mrefu hapo nyumbani kusimfanye asahau position yake kwakuwa likizo ni fupi mwambie dada mwanao aoshe kama ni vyombo asubuhi na vya mchana na kazi nyingine azihandle dada wa kazi
na hawa wadada tunaoishi nao kama ndugu huwa wanajisahau sana. anataka haki sawa na wanangu, lol!
 
tatizo langu pia naona kama dada ataona ana kazi nyingi. Ingawa sina mtoto mdogo wala mfugo, ni kazi za usafi wa nyumba na kupika tu

mmh pole yako, hata mi kwangu nilipataga mtihani huo, sasa mi si mtt wa kike ni wa kiume tena wa ndg yng lkn likizo anasaidia kazi zote, sasa siku moja nikamkuta dada wa kazi kalala mpk saa 3 asb eti kisa leo ni zamu ya fulani.....khaaa..nilichoka..nikapanga kazi zikajulikana hizi ni za nani na sio kuacha tuu

lazima uweke ratiba ya kazi za nyumbani na kazi za shule na kupumzika..binti pia anahitaji kupumzika sio kila wakati yuko bize tuuuu mwisho wa siku hata likizo inaisha hajui imeishaje....jaribu kupanga hivi
1. kazi za, kufua, kupasi, kudeki, plus kufuta madirisha/viti/makabati afanye dada wa kazi
2. kazi za kupika, kuosha vyombo, sokoni, hazichukui muda mrefu kama mtu ni mshapu kwa ivo mpe binti yako baada ya hapo ni kupiga kitabu..

huyo anayetaka wagawane kila kazi ikifika mwisho wa mwezi pia wagawane mshahara, ala!!!!!! ye hajui kwamba mwenzie mwanafunzi
 
Nawasalimu kwa Upendo wanaMMU.Kuna hili jambo naomba unishauri maana sina uhakika na ninayoyafanya niyafanye vipi.Nina binti ambaye yupo sekondari, boarding school.Wadada wa kazi ambao nimeshakaa nao mpaka sasa wote ni wana umri mkubwa kwa binti yangu.Huyu binti yangu ukweli tangu akiwa primary school huwa napenda sana anapokuwa home asaidie kazi za nyumbani kama ambavyo wadada wanafanya. na imetokea kawa mfanya kazi mzuri sana, kuanzia kupika, kufanya usafi na kazi zote za nyumbani.Tatizo sasa linakuja, dada wa kazi niliyenaye sasa anataka kazi zooteee za nyumbani wafanye sawa na binti yangu. binti yupo nyumbani kwa likizo ya wiki 2, lakini ukweli hapati hata muda wa kupumzika au kufanya kazi zake za shule maana muda wote anafanya kazi za nyumbani.Ni kweli napenda binti asaidie kazi za nyumbani, lakini kama leo nimejisikia vibaya sana sababu binti hapati muda wa kupumzika kama watoto wengine wa nyumba nyingine, dada wa kazi anataka kila kazi wafanye wote. Na mimi naona haipendezi kumwambia binti yangu apumzike wakati dada wa kazi anafanya kazi, hata kama ni kuosha vyombo.Nimekuja hapa kuuliza wenzangu mnisaidie, nipangaje kazi ili dada ajue kuwa kazi za nyumbani ni wajibu wake yeye na siyo binti ambaye yupo hapa kwa muda tu?Au wenzangu mnafanyaje?NB: najua kuna wengine pia wanaishi na ndugu, wadogo zenu, mawifi, ambao ni wanafunzi, hao pia nawaweka kwenye kundi kama hili tu la binti. Mnapangaje hapo?Natanguliza shukurani
mpe kazi ambazo unajua atafanya haraka na kupata muda wa kupumzika na kusoma mfano mwambie kwa kipindi chote cha likizo yeye ndo atakuwa anafanya usafi wa nyumba na mazingira. kwa hiyo yeye akiamka anajua atadeki na kufagia uwanja akimaliza akasome. na dada akijua hilo nadhani ataelewa.
 
Mie nimewagawanyisha kazi, kijana bado mdogo. Nimempangia kazi ya kuandaa meza wakati wa kula, kutoa vyombo tukimaiza kula, kusuuza vyombo wengine wakiosha. Kazi za kutumwa tumwa nyiingi zote ni zake, sijui kupika chai jioni, leta maji ya kunywa, tafuta rimoti, funga mapazia jioni.

Dada kupika, usafi na kufua.

Wa boarding wakija sababu wao wakubwa, nampunguzia dada baadhi ya kazi zinakuwa zao. Ukizubaa, dada anakuwa bosi wa watoto wako. Mie kuna siku alinishangaza, nilimtumanaye akamtuma kijana wangu, kidogo nimlambue.
 
tatizo langu pia naona kama dada ataona ana kazi nyingi. Ingawa sina mtoto mdogo wala mfugo, ni kazi za usafi wa nyumba na kupika tu

kabla binti hajarudi likizo dada alikuwa anafanyaje hizo kazi mpaka sasa aone ni nyingi? na mie nilikuwa napenda kumfanyia hivyo hivyo binti yangu(wa msukuma) lakini niliona dada yeye ndio anataka kumgeuza binti mfanyakazi pale ndani, unatoka kazini binti kanywea kachoshwa na makazi, nilimdadisi alivyokuja kuniambia anachoshwa na kazi za ndani aisee, nilimwita dada hapo hapo nikamwambia huyu kaja mapumziko hapa atakusaidia vikazi vidogo vidogo eg mchana mkimaliza kula aoshe vyombo vyenu sio binti pasu pasu na dada, hapana kabisa.
 
Asante mamii....
niliamua nichukue style ya mamangu.....
sisi pia tulikuwa tunafanya kazi ingawa tulikuwa na dada, ukweli inalipa sana maana nafanya kila kitu mwenyewe.
tatizo wadada wa siku hizi ni wavivu, kwa hiyo anakwepa sana majukumu yake
Vizuri sana,abarikiwe mama yako. Hawa wadada tuwasamehe bure na tusichoke kabisa kuwaelimisha sababu nao watakuja kuwa na familia.

Nakutakia kikao chema na Mungu awe nanyi azidishe furaha na upendo kwenye familia yako.
 
Hyo ipo hz habar za kutegeana kazi jaman mmh kama hujataja jina ujue imekula kwako aidha hyo kaz icfanyke au afanye yule mwenye wito
 
Mie nimewagawanyisha kazi, kijana bado mdogo. Nimempangia kazi ya kuandaa meza wakati wa kula, kutoa vyombo tukimaiza kula, kusuuza vyombo wengine wakiosha. Kazi za kutumwa tumwa nyiingi zote ni zake, sijui kupika chai jioni, leta maji ya kunywa, tafuta rimoti, funga mapazia jioni.

Dada kupika, usafi na kufua.

Wa boarding wakija sababu wao wakubwa, nampunguzia dada baadhi ya kazi zinakuwa zao. Ukizubaa, dada anakuwa bosi wa watoto wako. Mie kuna siku alinishangaza, nilimtumanaye akamtuma kijana wangu, kidogo nimlambue.

sawa kabisa, halafu sasa mie wangu alivyoona binti anachapa kazi pasu pasu yeye muda wake ni simu simu na yeye,juzi nilimchenjia kuongea na simu za kimahaba mbele ya wanangu ni No, nilivyomchenjia hivyo akaninunia, jana asubuhi ananiambia dada nataka kwenda nyumbani leo leo, nilimuuliza tu unanidai, sikudai, haya funga funga nikupeleke stendi, simu kwao binti yenu anarudi huko, mama wa binti mkarimu kweli anabembeleza kuniuliza kulikoni, nikamwambia mama ngoja nikawafungashe na watoto niwahamishie kwa dada yangu then nikitulia ntakucal tuongee, leo mdada anani beep kuanzia asubuhi, kumcal ananiomba msamaha shetani alimpitia, anaomba kurudi na na kilio juu, nadhani mama yake alimchenjia huko, mxsiii ukiwanyenyekea hawa ni majanga.
 
na majanga haswaa
Ni kujaribu ku-maintain balansi tu, dada awe kajipanga kila siku, tatizo binadamu ukimpa moja anataka 5.

sawa kabisa, halafu sasa mie wangu alivyoona binti anachapa kazi pasu pasu yeye muda wake ni simu simu na yeye,juzi nilimchenjia kuongea na simu za kimahaba mbele ya wanangu ni No, nilivyomchenjia hivyo akaninunia, jana asubuhi ananiambia dada nataka kwenda nyumbani leo leo, nilimuuliza tu unanidai, sikudai, haya funga funga nikupeleke stendi, simu kwao binti yenu anarudi huko, mama wa binti mkarimu kweli anabembeleza kuniuliza kulikoni, nikamwambia mama ngoja nikawafungashe na watoto niwahamishie kwa dada yangu then nikitulia ntakucal tuongee, leo mdada anani beep kuanzia asubuhi, kumcal ananiomba msamaha shetani alimpitia, anaomba kurudi na na kilio juu, nadhani mama yake alimchenjia huko, mxsiii ukiwanyenyekea hawa ni majanga.
 
na hawa wadada tunaoishi nao kama ndugu huwa wanajisahau sana. anataka haki sawa na wanangu, lol!

mie nimeona hawa wadada wa kutukanwa tukanwa ndio wanakaa kwa heshima majumbani, nina rafiki yangu kumtwanga/tukana dada ni dk sifuri, lakini wadada wanakaa haswaaa, alienae sasa hivi wanafikisha miaka mitano, mie kuanzia dada yangu aliewalea watoto wangu wote alivyoniambia anaenda kuendeleza maisha kwao kigoma huko, nakomaje sasa, nimebadilisha huyu wa nne sasa, na ni kuanzia last sept, mie sijazoea kupigishana makelele, narudi huko na lager zangu kelele nawezea wapi, lakini hawa wananifanya nizipige aisee, mana unarudi 12 jioni mtoto mdogo hajaogeshwa, mara huku nguo za watoto walizotoka nazo shule hazijafuliwa, mara wali mbichi, khaaa namkumbukaje dada yangu yule jamani.
 
mmh pole yako, hata mi kwangu nilipataga mtihani huo, sasa mi si mtt wa kike ni wa kiume tena wa ndg yng lkn likizo anasaidia kazi zote, sasa siku moja nikamkuta dada wa kazi kalala mpk saa 3 asb eti kisa leo ni zamu ya fulani.....khaaa..nilichoka..nikapanga kazi zikajulikana hizi ni za nani na sio kuacha tuu

lazima uweke ratiba ya kazi za nyumbani na kazi za shule na kupumzika..binti pia anahitaji kupumzika sio kila wakati yuko bize tuuuu mwisho wa siku hata likizo inaisha hajui imeishaje....jaribu kupanga hivi
1. kazi za, kufua, kupasi, kudeki, plus kufuta madirisha/viti/makabati afanye dada wa kazi
2. kazi za kupika, kuosha vyombo, sokoni, hazichukui muda mrefu kama mtu ni mshapu kwa ivo mpe binti yako baada ya hapo ni kupiga kitabu..

huyo anayetaka wagawane kila kazi ikifika mwisho wa mwezi pia wagawane mshahara, ala!!!!!! ye hajui kwamba mwenzie mwanafunzi

Nani kakuambia kupika siyo kazi ngumu na haimalizi muda? We kukaa jikon na kuhakikisha vichwa vyote vinaridhika na mlo wako siyo kazi ya kitoto?? Kuna wababa wanakiambia chakula cha home kisa kibaya.
Kupika apike zile siku labda za wikend,au siku chakula siyo cha muda mrefu,na vyombo kuosha siyo vya muda wote,aoshe vile vinavyokuwa vimetumika si sana mfano vya breakfast n.k
 
na majanga haswaa
Ni kujaribu ku-maintain balansi tu, dada awe kajipanga kila siku, tatizo binadamu ukimpa moja anataka 5.

ila nilichompendea hana maumbea ya kwa majirani, alieondoka kabla ya huyu ilikuwa kila nikirudi jioni namkuta nje ya geti yupo anapiga soga na wadada/wamama ambao hata mie mwenyewe siwajui, ndio nianze kuulizia hawa wa wapi naambiwa wa geti lile la mwisho, umewajuaje? jamani dada ntaacha kujua majirani, khaaa, nilimtimua kwa kujua anawaingzia wanaume ndani, ananiambia ni rafiki zake, siku nikarudi mchana kwa kumshtukiza namkuta mtoto katoka shule yupo nje hajafunguliwa geti, kumbe yupo huko ndani na hao marafiki zake, mziki mkubwa mtoto hafikii kengele kwahiyo kimekaa hapo nje mpaka kimekoma, nilimfungasha mchana huo huo.
 
tatizo binti ni mwepesi sana kufanya kazi kuliko dada.
yaani ukituma tu, kama hujataja jina ujue mfanyaji pale atakuwa binti.
Asante kwa ushauri
Fixed Point usithubutu kumwambia binti yako afanye kazi chache nyingine amwachie binti wa kazi mwache afanye kazi kadri apendavyo anajijengea tabia njema ta uwajibikaji yupo likizo ni ya muda mfupi ndo wajibu anapokuwa likizo tena shukuru Mungu umepata anayependa kuwajibika .mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
mmh pole yako, hata mi kwangu nilipataga mtihani huo, sasa mi si mtt wa kike ni wa kiume tena wa ndg yng lkn likizo anasaidia kazi zote, sasa siku moja nikamkuta dada wa kazi kalala mpk saa 3 asb eti kisa leo ni zamu ya fulani.....khaaa..nilichoka..nikapanga kazi zikajulikana hizi ni za nani na sio kuacha tuu

lazima uweke ratiba ya kazi za nyumbani na kazi za shule na kupumzika..binti pia anahitaji kupumzika sio kila wakati yuko bize tuuuu mwisho wa siku hata likizo inaisha hajui imeishaje....jaribu kupanga hivi
1. kazi za, kufua, kupasi, kudeki, plus kufuta madirisha/viti/makabati afanye dada wa kazi
2. kazi za kupika, kuosha vyombo, sokoni, hazichukui muda mrefu kama mtu ni mshapu kwa ivo mpe binti yako baada ya hapo ni kupiga kitabu..

huyo anayetaka wagawane kila kazi ikifika mwisho wa mwezi pia wagawane mshahara, ala!!!!!! ye hajui kwamba mwenzie mwanafunzi
nitajitahidi kuweka ratiba kwa muda huu wa likizo, maana binti baada ya Pasaka anarudi shule, kazi zote zinabaki kwake
 
mpe kazi ambazo unajua atafanya haraka na kupata muda wa kupumzika na kusoma mfano mwambie kwa kipindi chote cha likizo yeye ndo atakuwa anafanya usafi wa nyumba na mazingira. kwa hiyo yeye akiamka anajua atadeki na kufagia uwanja akimaliza akasome. na dada akijua hilo nadhani ataelewa.
Asante kwa ushauri, nitazingatia
 
Back
Top Bottom