Naomba ushauri kwa hili wana MMU

Naomba ushauri kwa hili wana MMU

Jaribu kukaa na binti yako umueleze kuwa anatakiwa amwachie dada afanye kazi za ndani na yeye awe anamsaidia tu kidogo na vilevile ukae na dada umwambie kuwa anatakiwa ampe nafasi binti yako awe na wakati wa kusoma maana yeye ndio amekuja hapo kwako awe anafanya majukumu hayo na sio huyo mdogo anaeaoma
Asante sana, nimeongea nao na wameelewa
 
ni wewe kumpa binti yako kazi za kufanya kama kuosha vyombo na kufanya usafi chumba chalke na kufua nguo zake mda unaobakia apate mda wa kusoma na kufanya mabo mengine.... ila mimi sijawa mama bado naeza kuwa nakosea pia

Nilikua nakusubiria uropoke tu umekua mama tungejuana vizuri nyumbani
Shukran lovito
 
lavu yyyaaaaaaa sana ... mimi si unajua mke mwema anayejua kutunza siri za ndani

Noma sana
Sijakosea mlango Wa kuingilia
Navyozidi kuandika wasifu wako mzuka unanipanda kama name a kwa lugha aisee
Ashlamataksfajksbshsysv haleluuuyaaaa
Kula makisi kama mia kwanza babi ake u deserve to be hapi bana u owe mi much u make mi fili sipesho sana
 
Noma sana
Sijakosea mlango Wa kuingilia
Navyozidi kuandika wasifu wako mzuka unanipanda kama name a kwa lugha aisee
Ashlamataksfajksbshsysv haleluuuyaaaa
Kula makisi kama mia kwanza babi ake u deserve to be hapi bana u owe mi much u make mi fili sipesho sana

asante kisss uuuuuuu san babie
 

tatizo la wadada wengi
ukiishi nae kama ndugu,unampenda
na kumcare basi hua wanataka watupande kichwani
vinaudhi some tym!!
Upo sahihi kabisa, ila sasa tutafanyaje na sisi kunyanyasa mtu hatuwezi?
Hii ndo weakness yetu wengi, na wanatupanda vichwani haswaaaaaa
 
Upo sahihi kabisa, ila sasa tutafanyaje na sisi kunyanyasa mtu hatuwezi?
Hii ndo weakness yetu wengi, na wanatupanda vichwani haswaaaaaa

mimi kwa kweli hua natimua sio siri
sio wote ambao hawajielewi,natimua naleta mwingine
mshahara nimlipe,thn anitese kwa kuongea asbh mpaka jioni aakhaa!!
 
kwa harakaharaka mtoa mada unaonekana ni muungwana sana tena ni mdau mkubwa tu wa AMANI,We mzaliwa wa kati nini?(just joking). Cha kufanya hapo ni kumsihi bintiyo kumheshimu huyo dada wa kazi kwa heshima zote coz i guess huyo dada anafanya hivyo ili kucommand respect kutoka kwa bintiyo.Ila licha ya kuwa na muda wa kujisomea au kupumzika asiache kufanya shughuli za nyumbani ili amaintain "kipaji chake" hatimaye aje kuwa mama bora siku za usoni!
 
mimi kwa kweli hua natimua sio siri
sio wote ambao hawajielewi,natimua naleta mwingine
mshahara nimlipe,thn anitese kwa kuongea asbh mpaka jioni aakhaa!!
ha haaaa, hilo la kuongea asubuhi mpaka jioni linaniumizaga sana, ila sasa hakuna jinsi itabidi tu uongee
 
kwa harakaharaka mtoa mada unaonekana ni muungwana sana tena ni mdau mkubwa tu wa AMANI,We mzaliwa wa kati nini?(just joking). Cha kufanya hapo ni kumsihi bintiyo kumheshimu huyo dada wa kazi kwa heshima zote coz i guess huyo dada anafanya hivyo ili kucommand respect kutoka kwa bintiyo.Ila licha ya kuwa na muda wa kujisomea au kupumzika asiache kufanya shughuli za nyumbani ili amaintain "kipaji chake" hatimaye aje kuwa mama bora siku za usoni!
Asante sana kwa ushauri na SIFA, lol!
 
Back
Top Bottom