Benibaya
Member
- Jan 29, 2020
- 14
- 4
Wakuu naomba kuuliza
Mimi ni kijana mwenye miaka 18. Moyo wangu huwa unadunda kwa nguvu yani hata nikiwa nimeshika kitu mkono wa kushoto unatetemeka.
Naomba ushauri vitu gani niache ili urudi katika hali yake ya kawaida na hili limesababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana mwenye miaka 18. Moyo wangu huwa unadunda kwa nguvu yani hata nikiwa nimeshika kitu mkono wa kushoto unatetemeka.
Naomba ushauri vitu gani niache ili urudi katika hali yake ya kawaida na hili limesababishwa na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app