Habari zenu?
Kwanza mimi sio muandishi wala mchangiaji sana wa mada zinazoletwa humu jukwaaan, kwahiyo naomba hicho kisiwe kigezo cha kutonipa ushauri!
Mimi naishi Nyanda za juu kusini katika mojawapo za Wilaya zinazolima mpunga.
Sasa leo nimeota ndoto ilinishangaza sana kitu kilochopelekea kuomba ushauri ili muweze pengine kuniambia tafusri yake.
Nimeota niko kijijini napita karibu na choo cha kilabuni nikaona watu wanatoa kinyesi kwenye hicho choo ambacho inaonekana kimejaa.
Lakini wanatoa hicho kinyesi kwa ndoo na kwenda kukimwaga mahali furani,sasa wakati napita karibu na hapo chooni mmojawapo wa hao wabebaji akanimwagia kinyesi kwa kitu kinachoonekana kama bahati mbaya mwili mzima!
Sasa ni kawa nakwenda kutaka kuoga nyumbani kwa babu yangu,lkn ghafula nikatokea mjini ninako ishi.
Huko sasa nikakutana na watu ninao fanya nao kazi wakawa wana kazi ambazo huwa wananipa mimi hizo kazi kuzifanya,lakini wakawa hawanipi kwa sababu niko na huo uchafu!.
Nimeomba huu ushauri kwa sababu ambazo nakumbana nazo kazini kiasi kwamba hii ndoto naona ina akisi hali hiyo
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo!.
Kwanza mimi sio muandishi wala mchangiaji sana wa mada zinazoletwa humu jukwaaan, kwahiyo naomba hicho kisiwe kigezo cha kutonipa ushauri!
Mimi naishi Nyanda za juu kusini katika mojawapo za Wilaya zinazolima mpunga.
Sasa leo nimeota ndoto ilinishangaza sana kitu kilochopelekea kuomba ushauri ili muweze pengine kuniambia tafusri yake.
Nimeota niko kijijini napita karibu na choo cha kilabuni nikaona watu wanatoa kinyesi kwenye hicho choo ambacho inaonekana kimejaa.
Lakini wanatoa hicho kinyesi kwa ndoo na kwenda kukimwaga mahali furani,sasa wakati napita karibu na hapo chooni mmojawapo wa hao wabebaji akanimwagia kinyesi kwa kitu kinachoonekana kama bahati mbaya mwili mzima!
Sasa ni kawa nakwenda kutaka kuoga nyumbani kwa babu yangu,lkn ghafula nikatokea mjini ninako ishi.
Huko sasa nikakutana na watu ninao fanya nao kazi wakawa wana kazi ambazo huwa wananipa mimi hizo kazi kuzifanya,lakini wakawa hawanipi kwa sababu niko na huo uchafu!.
Nimeomba huu ushauri kwa sababu ambazo nakumbana nazo kazini kiasi kwamba hii ndoto naona ina akisi hali hiyo
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo!.
