Naomba ushauri kuhusu kozi yakusoma

Naomba ushauri kuhusu kozi yakusoma

Hata CO boss,unajua shida ya nchi yetu nesi halipwi vizuri hasa private omba upate serikalini ndo utapata pesa nzuri halafu ukiwa CO una uwanja mapana zaidi wa kujiendeleza kwa kozi mbali mbali za afya tofauti na nesi yote kwa yote hapa sio kumpotosha nazungumza kwakuwa nipo kwenye hii kada na hayo nashuhudia

Ndugu mtoa mada uchaguzi ni wako ila kumbuka usijenge nyumba barabarani
Hivi Kati ya nurse na Co Nani mwenye uwanja Mpana wa kufanya kazi,, nachokijua nurse ndiye anaeweza kufanya kazi sehemu yoyote kuanzia serikalini, NGO'S, hospitali binafsi na kila sehemu ya Afya kwa department yeyote Ile inamuhitaji nurse unlike Co so usimpotoshe kama unamshauri aende Co kutafuta sifa ya kuitwa dakitari na kutembea na makoti kwenye korido za hospitali Sawa, but sio kusema Co ina uwanja Mpana wa kufanyia kazi uki_compare na nurse.
 
Nkupe direction, kama umetoka 4m weww bado ni mdogo, pga c.o, kama chuo hakna io koz fanya taratbu uhame ikiwezekana anza process mapema,

ikishndkana soma uliyopangiwa, maana wanaweza kusmbua malpo baada ya kuhama, ukmalza, tafta nafasi, uende jkt, ukiwa na chet cha afya utakula sana tano, na kaz za afya ztatoka uko jeshn utasepa, kama unalipenda lkn,

over
 
Afu sorry kaka unaweza kuweka marks zako hapa za masomo ya sayansi tukushauri vizuri zaidi maana kuna kozi za afya ambazo zina market kwa wakati huu kuliko hiyo CO au Nurse
Chemistry-c
Mathematics-c
Biology-B
Physics -D
Mengine c
 
Hata CO boss,unajua shida ya nchi yetu nesi halipwi vizuri hasa private omba upate serikalini ndo utapata pesa nzuri halafu ukiwa CO una uwanja mapana zaidi wa kujiendeleza kwa kozi mbali mbali za afya tofauti na nesi yote kwa yote hapa sio kumpotosha nazungumza kwakuwa nipo kwenye hii kada na hayo nashuhudia

Ndugu mtoa mada uchaguzi ni wako ila kumbuka usijenge nyumba barabarani
Nakuelewa,, but kama hautojali unaweza kuniambia hizo kozi ambazo Co anaweza kujiendeleza nazo ambazo nurse hawezi tofauti na kuendelea degree kuwa MD,
 
Nkupe direction, kama umetoka 4m weww bado ni mdogo, pga c.o, kama chuo hakna io koz fanya taratbu uhame ikiwezekana anza process mapema,

ikishndkana soma uliyopangiwa, maana wanaweza kusmbua malpo baada ya kuhama, ukmalza, tafta nafasi, uende jkt, ukiwa na chet cha afya utakula sana tano, na kaz za afya ztatoka uko jeshn utasepa, kama unalipenda lkn,

over
Una ushauri mzuri Sana mdogo wangu but jifunze uandishi,, unatia kinyaa
 
Jaribu kuangalia na physiotherapy,dental na radiology ziko poa pia...ngoja nitafute vigezo vyake boss kama vile vile au wamebadilisha uzuzri wa hizo kozi nilizokutajia hazina watu wengi na utakua hospital z a mijini sio kijijini
Chemistry-c
Mathematics-c
Biology-B
Physics -D
Mengine c
 
Naombenii ushauri jamni nimechaguliwa kwendaa chuo cha midwive&nursing lakin sitakii hiyo course nilikuwa naitajii kwenda clinical officer nitafanyaje.Na kuna uwezekano wa kusoma diploma na kunganishaa mpakaa degree na ni miaka mingapi??
Matokeo yako?
 
Mdau, unaweza kujazia maelezo hapo kwenye kuhama kama hutojali? ...maana walisema kuhama ni kuanzia tar 10/08/2019 lakini leo so far kwenye web yao bado kuna interface ya kuthibitisha tu.
Thibitisha kwanza then ndo unaweza hama
 
Namaanisha Dirisha la uhamisho wameshafungua lakini Huwezi kuhama kama hujathibitisha kwenye hiyo kozi kwahiyo thibitisha then unafanya process za kuhama...process zote za kuhama zimeelekezwa pale pale
Mdau, unaweza kujazia maelezo hapo kwenye kuhama kama hutojali? ...maana walisema kuhama ni kuanzia tar 10/08/2019 lakini leo so far kwenye web yao bado kuna interface ya kuthibitisha tu.
 
Back
Top Bottom