Naomba ushauri kuhusu kilimo, nilime matikiti au nyanya?

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Jun 8, 2012
996
773
Iko hivi, nimejipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji msimu wa kiangazi. Nina shamba ekari 4. Natarajia kiangazi kikianza nichimbe maji then nifunge pampu. Nitakuwa napandisha maji kwa generator kwenda kwenye simtank alafu namwagilia kwa mipira (drip irrigation). Sasa kuna mambo yananichanganya kiasi.
  • Je, nilime nyanya au tikiti maji.? Nimekuwa nikifuatilia mahitaji ya haya mazao, na kwa eneo langu zao lolote kati ya haya linakubali. Swali langu, nahitaji kulima zao ambalo litakuwa cost effective lakini liwe na uzalishaji mkubwa kwa kila ekari. Naomba wazoefu mnisaidie, Je, kwa ekari moja nikilima nyanya nitapata mkwanja kiasi gani, na nikilima tikiti nitapata kiasi gani. Tupieni na uzoefu wa marketing, ipi ni rahisi kuuzika. Tukadirie kwamba other factors remain costant.
N.B: Sitalima kwenye Green house kwa sasa, nitatumia open system, lakini nitazungushia shamba langu fence kwa ajili ya usalama. Pia kwa sasa nimelima mahindi kwa sababu nilikuwa nasafisha shamba na kutoa visiki. Natanguliza shukrani.
 
Cost za kuchimba kisima zikoje mkuu hasa visima virefu ili kuwa na maji ya uhakika na kutosheleza eneo kubwa.
 
Iko hivi, nimejipanga kufanya kilimo cha umwagiliaji msimu wa kiangazi. Nina shamba ekari 4. Natarajia kiangazi kikianza nichimbe maji then nifunge pampu. Nitakuwa napandisha maji kwa generator kwenda kwenye simtank alafu namwagilia kwa mipira (drip irrigation). Sasa kuna mambo yananichanganya kiasi.
  • Je, nilime nyanya au tikiti maji.? Nimekuwa nikifuatilia mahitaji ya haya mazao, na kwa eneo langu zao lolote kati ya haya linakubali. Swali langu, nahitaji kulima zao ambalo litakuwa cost effective lakini liwe na uzalishaji mkubwa kwa kila ekari. Naomba wazoefu mnisaidie, Je, kwa ekari moja nikilima nyanya nitapata mkwanja kiasi gani, na nikilima tikiti nitapata kiasi gani. Tupieni na uzoefu wa marketing, ipi ni rahisi kuuzika. Tukadirie kwamba other factors remain costant.
N.B: Sitalima kwenye Green house kwa sasa, nitatumia open system, lakini nitazungushia shamba langu fence kwa ajili ya usalama. Pia kwa sasa nimelima mahindi kwa sababu nilikuwa nasafisha shamba na kutoa visiki. Natanguliza shukrani.
Haaaah haaaah mkuu kilimo kina changamoto sana. Anza na nyanya ..maana tikiti kila mtu analima, so demand ni ndogo kuliko supply kwa kipindi hiki. So km vp subiri kidogo au ulime nyanya. Na mahesabu yake ni tofauti na maelezo ya vitabuni...
 
viongozi, wasanii nk. ni rahisi kununua chakula kuliko kuzalisha, mazao yako yanakopwa lakini wewe hukopesheki. kilimo siyo kazi.
Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri na hata elimu uliyonayo.

Hujui hata maana ya kazi.

Wewe ni kati ya wale ambao mnakufa masikini mkidhani kazi ni kuamka saa 12 kukimbia ofisini na kusubir kuwekewa mshahara mwisho wa mwezi. Baada ya kustaf ndiyo mnakimbilia kilimo wakati mmesha kuwa over used.
 
Na wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri na hata elimu uliyonayo.

Hujui hata maana ya kazi.

Wewe ni kati ya wale ambao mnakufa masikini mkidhani kazi ni kuamka saa 12 kukimbia ofisini na kusubir kuwekewa mshahara mwisho wa mwezi. Baada ya kustaf ndiyo mnakimbilia kilimo wakati mmesha kuwa over used.
ukikaa mjini ukiwa unatembeza viatu, tshirt, unachoma mihogo na kazi zinngine zisizo Rasmi utapiga pesa ndefu na maisha bora kuliko mkulima. kuna jamaa anatembeza viatu anaingiza faida 20,000 kwa siku. nashauri vijana waende mijini kuhaso. kilimo wawaachie wazee na wazembe. isipokuwa kama wanataka kufa masikini.
 
ukikaa mjini ukiwa unatembeza viatu, tshirt, unachoma mihogo na kazi zinngine zisizo Rasmi utapiga pesa ndefu na maisha bora kuliko mkulima. kuna jamaa anatembeza viatu anaingiza faida 20,000 kwa siku. nashauri vijana waende mijini kuhaso. kilimo wawaachie wazee na wazembe. isipokuwa kama wanataka kufa masikini.
"Usimuamshe aliyelala ukimuamsha utalala wewe"

Endelea na ujinga wako uouo.
 
ukikaa mjini ukiwa unatembeza viatu, tshirt, unachoma mihogo na kazi zinngine zisizo Rasmi utapiga pesa ndefu na maisha bora kuliko mkulima. kuna jamaa anatembeza viatu anaingiza faida 20,000 kwa siku. nashauri vijana waende mijini kuhaso. kilimo wawaachie wazee na wazembe. isipokuwa kama wanataka kufa masikini.
Yani 20000 unaona ni hela ndefu sanaaaa? Hebu nitafute nikuoyeshe kijana mkulima analipa wafanyakazi wake 6 iyo 12,000 kwa siku. Yani kwa mwezi ni 360,000. Vijana 6 ni 2,160,000 na bado anawalisha. Anaingiza hadi 30,0000,000 kwa mwezi kwa shamba lenye heka 15 tu.

Sasa hapo mwenye kazi kwa akili yako na nani?
 
"Usimuamshe aliyelala ukimuamsha utalala wewe"

Endelea na ujinga wako uouo.
utagundua nchi masikini raia wengi ni wakulima. ingekuwa kazi ya maana ingeshawatoa kwenye umasikini. wauza machungwa na mamalishe wana wastani mkubwA wa pato kuliko wakulima. kijana ukitaka kufa masikini na kuzeeka mapema nenda kalime.
 
Yani 20000 unaona ni hela ndefu sanaaaa? Hebu nitafute nikuoyeshe kijana mkulima analipa wafanyakazi wake 6 iyo 12,000 kwa siku. Yani kwa mwezi ni 360,000. Vijana 6 ni 2,160,000 na bado anawalisha. Anaingiza hadi 30,0000,000 kwa mwezi kwa shamba lenye heka 15 tu.

Sasa hapo mwenye kazi kwa akili yako na nani?
isijekuwa story za forever au kama matapeli wa kilimo cha green house? 20,000 kwa siku ni 7.2m kwa mwaka. tufany 5m. unafikiri ni mkulima gani atatumia laki tano kutengeneza faida kama hiyo? wakulima hata SACCOS hawakopesheki.
 
Sasa wewe endelea kushinda JF et unalilia "likes" wenzio wanapinda mgogo na kilimo
na wanapinda hasa. jiulize kwanini wamachinga wanakatalia mjini hata serikali ikisema itawapa ardhi? unafikiri wajinga? wanajua chenye faida na hasara? nyie mnaodanganyana wasapu ndiyo mnasema kilimo kinalipa. na wengi ni waajiriwa.
 
isijekuwa story za forever au kama matapeli wa kilimo cha green house? 20,000 kwa siku ni 7.2m kwa mwaka. tufany 5m. unafikiri ni mkulima gani atatumia laki tano kutengeneza faida kama hiyo? wakulima hata SACCOS hawakopesheki.
Ndyo maana nikasema only in Tanzania maana 95% ni wapumba.vu kama wewe.

Yani unazidi kuonyesha upumbavu wako. Kwamba wakulima hwakopesheki?????

Hebu angalia kwenye nch kama kenya ambapo wapumbavu kama wewe wamepungua hadi 40%. Angalia GDP kutokana na Agribsness.

Vijana wanamaliza uko chuo wanachukua mikopo kutumia vyeti vyao wanafanya wonders in agriculture wewe unashinda JF et unalalamikia Moods wamekupunguzia likes????

JF nirudishieni likes zangu.

Hivi watanzania tumelogwa na nani? Yani limtu lizima linasema kilimo sio kazi lenyewe linaona kazi ni kutafta likes JF?????????!!!!!!!@ shiiiiiiiiittyiii


isijekuwa story za forever au kama matapeli wa kilimo cha green house? 20,000 kwa siku ni 7.2m kwa mwaka. tufany 5m. unafikiri ni mkulima gani atatumia laki tano kutengeneza faida kama hiyo? wakulima hata SACCOS hawakopesheki.
 
Back
Top Bottom