Ndugu zangu,
Nina mdogo wangu kamaliza Form four nataka asome computer courses hasa Ms,word, excel, powerpoint ETC.Je wapi ni mpeleke ambapo wanaweza kumfunza computa na akaelewa, kati ya UCC na LEARNIT au pengine mnapopafahamu kuwa ni bora.
Asanteni
Nina mdogo wangu kamaliza Form four nataka asome computer courses hasa Ms,word, excel, powerpoint ETC.Je wapi ni mpeleke ambapo wanaweza kumfunza computa na akaelewa, kati ya UCC na LEARNIT au pengine mnapopafahamu kuwa ni bora.
Asanteni