5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,290
- 2,430
Naboti
Sio kweli mwanamme atoke atokako akupige tu lazima kuna sababu ingawa hata kama kuna sababu hapaswi kukupigia kibinadamu.
Lakini kama mwaname mumeachana kurudina ni lazima kuwe na ridhaa ya nyote wawili hata kama una ujauzito wake.(Nakusudia nyinyi ikiwa ni waislamu na ndoa mlifunga hivyo kwa taratibu za kiislamu)
Kwa ufupi lea mimba yako mazae mtoto wako salama ata akija akijuwa akisikia kwamba una mtoto wake utakachokubali wewe ni aje na huduma za mtoto tu. na hata kama akimuhitaji mtoto wake mpe achukue lakini sio kurudiana naye wewe na kulala naye kitanda kimoja.
ukishazaa tafuta anayekupenda kwa mapenzi ya heshima na ya dhati muoane muanze maisha mapya huyo ulokuwa naye si mume ni gumegume tu.
Sio kweli mwanamme atoke atokako akupige tu lazima kuna sababu ingawa hata kama kuna sababu hapaswi kukupigia kibinadamu.
Lakini kama mwaname mumeachana kurudina ni lazima kuwe na ridhaa ya nyote wawili hata kama una ujauzito wake.(Nakusudia nyinyi ikiwa ni waislamu na ndoa mlifunga hivyo kwa taratibu za kiislamu)
Kwa ufupi lea mimba yako mazae mtoto wako salama ata akija akijuwa akisikia kwamba una mtoto wake utakachokubali wewe ni aje na huduma za mtoto tu. na hata kama akimuhitaji mtoto wake mpe achukue lakini sio kurudiana naye wewe na kulala naye kitanda kimoja.
ukishazaa tafuta anayekupenda kwa mapenzi ya heshima na ya dhati muoane muanze maisha mapya huyo ulokuwa naye si mume ni gumegume tu.
Last edited by a moderator: