Nina TV yangu Hisence LED.
Nataka niipe uwezo wa kuwa smart TV.
Interest yangu ni kuwa niweze
1. Kuaccess Netflix
2. Kuaccess youtube na kustream huko
3. Kuaccess football streaming applications kwa ajili ya kuangalia mechi mbali mbali za mpirs nje ya dstv
Naambiwa nahitaji kuwa na android tv box.
Aina gani inanifaa? Upatikanaji na bei zake ziko vipi??
Asanteni
Nataka niipe uwezo wa kuwa smart TV.
Interest yangu ni kuwa niweze
1. Kuaccess Netflix
2. Kuaccess youtube na kustream huko
3. Kuaccess football streaming applications kwa ajili ya kuangalia mechi mbali mbali za mpirs nje ya dstv
Naambiwa nahitaji kuwa na android tv box.
Aina gani inanifaa? Upatikanaji na bei zake ziko vipi??
Asanteni