Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Bila kusahau kuzingatia umri wake 43yrs now so wana JF naomba ushauri uzingatie na umri wa jamaa.
Nafahamu kabisa hapa nitapata msaada we ukweli ninaoamini utanisaidia,
Nina mpango wa kuendelea na masomo ya juu at least the minimum to be 1st degree
lakini background yangu ni form four leaver nilijiendeleza ma course za IT kwa sasa nina MCSE na CCNA mwakani by January or Feb ninampango wa kufanya mtihani wa CCNP je kuna uwezekano nikawa nakubalika kujiunga na chuo chochote kikuu ambayo kiko recognizable nikaweza kufanya degree? na kama sikubaliki nifanyeje/niongeze kitu gani ili niweze kuwa eligible to join the chuo wakuu?
NB:Nimefanya kazi za IT kama System administrator kwa miaka mitatu sasa naomba kuwakilisha na ninaamini kwamba greet thinkers will help me out,
Asanteni
Nafahamu kabisa hapa nitapata msaada we ukweli ninaoamini utanisaidia,
Nina mpango wa kuendelea na masomo ya juu at least the minimum to be 1st degree
lakini background yangu ni form four leaver nilijiendeleza ma course za IT kwa sasa nina MCSE na CCNA mwakani by January or Feb ninampango wa kufanya mtihani wa CCNP je kuna uwezekano nikawa nakubalika kujiunga na chuo chochote kikuu ambayo kiko recognizable nikaweza kufanya degree? na kama sikubaliki nifanyeje/niongeze kitu gani ili niweze kuwa eligible to join the chuo wakuu?
NB:Nimefanya kazi za IT kama System administrator kwa miaka mitatu sasa naomba kuwakilisha na ninaamini kwamba greet thinkers will help me out,
Asanteni