YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Habari Wakuu,
Nina Budget Ya Tsh Milioni 10, Je Naweza Kuagiza Gari Ipi Nzurii.
Sifa Iwe Imetembea Si Zaidi ya Kama 50,000, Mwaka Kuanzia 2009 Kupanda Juu, Ikiwa Ndogo Yeyote Sawa Ilimradi Ndio Naanza Maisha Nataka Na Mimi Nionje Utamu Wa Kujifungia Ndani Ya Gari Nakula Kiyoyozi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nina Budget Ya Tsh Milioni 10, Je Naweza Kuagiza Gari Ipi Nzurii.
Sifa Iwe Imetembea Si Zaidi ya Kama 50,000, Mwaka Kuanzia 2009 Kupanda Juu, Ikiwa Ndogo Yeyote Sawa Ilimradi Ndio Naanza Maisha Nataka Na Mimi Nionje Utamu Wa Kujifungia Ndani Ya Gari Nakula Kiyoyozi
Sent from my iPhone using JamiiForums