Habari ndugu zangu,
naomba ushauri kwa vitu vya kuzingatia unaponunua gari mpya kwa mara ya kwanza, yaani umeenda kununua showroom au umeagizia kutoka Japan na ndo limefika.
Nini cha kuzingatia kabla na baada ya kukabidhiwa gari?
Sent using Jamii Forums mobile app
naomba ushauri kwa vitu vya kuzingatia unaponunua gari mpya kwa mara ya kwanza, yaani umeenda kununua showroom au umeagizia kutoka Japan na ndo limefika.
Nini cha kuzingatia kabla na baada ya kukabidhiwa gari?
Sent using Jamii Forums mobile app