Ungeomba ushauri kabla hujanunua.
Kwasasa omba pongezi au pole.
Subiri wanakuja maana tupo wengi tunataka kuhamia Huko.....
Daaah salio langu halitoshi kununua hata pikipiki
From Day one on JF, I always Appreciate you sana bro.Njia rahisi ya kutoboa ni ukiona mtu anatoboa muulize na amini
Wengi tunawambia hawa take action
The problem ni ku pay the price
And the price is higher than your willing to give
From Day one on JF, I always Appreciate you sana bro.
Ningetamani sana uwe mwongoza njia yangu, sifahamu mengi na natamani ku accomplish mengi, bro you are my role model. Hongera kwa Hili La Subaru, I believe yako mengi sana Usha accompliish maana hata maandishi yako huku JF ni yamejaa Akili na Maarifa mengi. Mungu azidi kukunyanyua MKIBAIGWA