mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733

whaaat????milioni 6???una maskhara wewe,mimi milioni 1 tu nilikataa nikatoa laki 5 na alikuwa bikra,huyo wako ni bikra???
Hebu kuwa mwanaume bhana,toa uamuzi ambao hautakutesa baadaye mkuu

whaaat????milioni 6???Hiyo afadhali mkuu
Hawajui kama wanatengeneza matatizo, mwishowe watamgawa bure kama msaadaWazazi wengine noma sana, wanaona hali halisi ya maisha ilivyo halafu wanamkomoa mtu kwa mahari ya millioni 6!!!
Hawajui kama wanatengeneza matatizo, mwishowe watamgawa bure kama msaada
Ww ni faraHahaha aya bana
Sawa mkuuAsante sana kwa ushahuri wako. Nitafuata moja ya hayo uliyonipatia
😂 😂mil. 6 ? uyo dada ana Ku ma 2 au ?
Nililipa 100000(laki moja tu), tena mke mzuri kwa nje na ndani.mpambanaji.kweli kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.Milioni 6? Huyo dada kashindwa kukutetea? Dah
Kweli kabisa,usawa huu?6ml? nunua vitz upige uber uje kuoa baadae
mkuu unapooa unalipa mahari kila mara, kuchangia matukio kwa wakwe, elimu, harusi, misaada nk, sasa kwanini watake pesa nyingi hivyo?Nililipa 100000(laki moja tu), tena mke mzuri kwa nje na ndani.mpambanaji.kweli kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake.
Yap akichapa mimba atakuwa amemkata mabawa, atapewa aishi nae halafu alipe mahari kidogo kidogo.Vipi 500K Mkuu? Au amtie Mimba ajichukulie kiulaini.
Kabisaa...Mnao muuliza kama huyo dada ni bikra nadhani mna matatizo. Na kwa jinsi alivyojieleza huenda hata kuoneshwa tu aone kama anayetaka kumuoa ni me au ke bado hajawahi kuoneshwa. Zamani tulikuwa tunamwita gheto tunamwambia akae kona ile ashushe kiy=tasa tuone tu kwa macho kama kweli ni ke. Huyu hajaruhusiwa kuona ndo maana wazee wakamkomalia mahari ya juu. 6m.
Ushauri;
Wewe sasa ndio umeshika mpini. Mdada keshagawa mikadi yake huko na huko. Usipunguze wala kuongeza siku ya harusi. Mwite mdada, mpe makavu live. Mwambie aende kule kwao awaambie;
1. Mahari italetwa baada ya ndoa na sio haraka kwani wanaenda kukaa pamoja walime hadi walipe 6 M.
2. Ukumbi wazazi wake wamlipie huyo mdada kwani vyakula na vinywaji vinatolewa na mumewe.
3. Send off itoke kwa wajomba na mashangazi kwa sababu, amempata kijana anayempenda na kumheshimu




...Hapa tatizo sio mahari kuwa million 6 hali halisi wazee hawamtaki huyu jamaa kuwa na mtoto wao. Ndio maana walimpa hio 6 million, kuna chali mmoja aliambiwa mahari million 10 mtoto shombe shombe ndio bi harusi. Jamaa baharia akakubali wazee wakasema lakini mpaka amalize kusoma ndio umuowe. Jamaa akakubali baada ya mtoto kumaliza shule wazee wanamwambia jamaa mtoto kishatolewa mahari na mtu mwengine. Maisha yote husema mwanamke ndie anae furahia ndoa na mwanaume hana furaha ya ndoa. Ndio kama huyu mchumba anagawa kadi za harusi yeye kichwa kinamuuma hana mahari sio mahari tu hata kodi hana. Wangu mie alitaka million 25 na gari juu mpaka leo nimemblock mama***eWazazi wengine noma sana, wanaona hali halisi ya maisha ilivyo halafu wanamkomoa mtu kwa mahari ya millioni 6!!!
Hahaha kwani mnakuwa na huruma BasiMilioni 6? Huyo dada kashindwa kukutetea? Dah




Hakuna kitu kama hicho, na kiwanja walinipa.wananiamini tu,wao wanajali furaha ya mtoto wao basi inatosha.pia nahisi hawapendi manyanyaso,mana mfano unapigwa milion hizo 6, hapo binti yao inabidi " afanye kazi kweli kweli..."mkuu unapooa unalipa mahari kila mara, kuchangia matukio kwa wakwe, elimu, harusi, misaada nk, sasa kwanini watake pesa nyingi hivyo?
Hao hawataki binti yao aolewe aiseeNdoa Ni yako kama haupo Vizuri Ni vizuri ukae chini na mwanamke umwambie hali halisi mpange jinsi ya ku deal na Hilo..
Swali Ni je kwa kiasi gani mwanamke wako anakusikilizia na anaweza kukusitiri?sasa hapo linakuja swala la selection, je ulichagua mwanamke sababu ana matako makubwa pekee au ulichagua mwanamke muelewa?
Changamoto km hiyo uwaga inatoa hints kivipi utaishi na mkeo baada ya kuoa, kama mwanamke asipokuelewana kukusitiri ukiwa unapitia kipindi kigumu ujue tu ataukioa ipo siku utapata tabu sanaaaaaa..
Ndo mana wewe Kama Mwanaume in nature lazima uwe very selective.
Kkkkkk Mali milioni 6 wanataka kukupa mke Kweli...