Aidan Kabakamas
Member
- Dec 22, 2016
- 41
- 24
- Thread starter
- #21
Hahaha aya bana6ml? nunua vitz upige uber uje kuoa baadae
Hahaha aya bana6ml? nunua vitz upige uber uje kuoa baadae
Wewe ni dhaifu kuliko muongoza vikao vya dodoma...
Nakushauri uachane na mpango wa kuoa kwa sasa mpaka hapo utakapokomaa kimaamuzi vinginevyo huyo mke atakuendesha sana sio kwa sababu mkeo ni mtata sana! Hapana kwa sababu ww ni dhaifu mno
Wazee wamenipinDaaa we jamaa noma sana yani ulimwengu ulivyo jaa wanawe wengi hivi mpaka wa mkopo wapo,kweli ukatoe mahari milioni6.Word goes round
Ndo maana nimekuja jamvini kuomba ushahuri
Hamna kituMil 6??? Mzee amemkuta bikraa bado au
ShukranMwenye maamuzi ya mwisho ni wewe fanya kile kitakachokupa amani na si kuwafurahisha walimwengu
Daaahhh...
Dunia bana, ni tambara bovu...
Wakati wengine wanaambiwa mahari ni bure, wengine wanatozwa mamilioni...![]()
Wanamuuza mtoto waoo afu alishatobolewa *****...Kodi ya nyumba inamshinda halafu anakubali kulipa mahari ya millioni 6!!!
Waambie mahari millioni tu au unaingia mitini wasikufanye mgongo wao wao kutafuta utajiri kwa nguvu.





Wanategemea mahari kutajirikaaHata hiyo bado ndefu sana kilingana na hali yake anayoielezea.Kodi ya nyumba inamshinda halafu anakubali kulipa mahari ya millioni 6!!!
Waambie mahari millioni tu au unaingia mitini wasikufanye mgongo wao wao kutafuta utajiri kwa nguvu.
nashukuru kama sio mdhaifu, busara na hekima ni muhimu, akili ifanye kazi kwa ufasaha sana kwa maamuzi unayotaka kuchua, ila naona kama bado sana hujajipanga omba tu wakupe mda tena walau wa mwaka mmoja utathmini future yako na mke wako mtarajiwa, ingekua ni mimi binafsi ningeomba nipewe walau mwaka mmoja then ntakuja na jibu kamilli na nini kifanyike, msimamo ni jambo la muhimu sana.Bro umetoa ushahuri mzuri sana kwangu. Mm sio dhaifu ila naitafuta hekima. Asante sana kwa ushahuri wako "mzuri"
[î]Hata hiyo bado ndefu sana kilingana na hali yake anayoielezea.
Anayeolewa ndiye mwenye haki ya kupanga kiasi cha mahari anayoitaka yeye, endapo hili lingepewa kipaumbele mambo kama haya kuumizana yasingekuwepo isipokuwa tu kwa kiasi kidogo
Hiyo afadhali mkuuVipi 500K Mkuu? Au amtie Mimba ajichukulie kiulaini.