Naomba updates za Interview ya TANESCO

MTWARA WAMEITA, MIMI NAISHI NA DOGO FLANI HIVI KAPIGIWA SIMU LEO MAJIRA YA SAA 5 ASUBUHI KAAMBIWA AFIKE KWENYE WRITTEN INTERVIEW TAREHE NANE YAANI ALHAMISI. POST. "ELECTRICAL TECHNICIAN"
SOUTHERN ZONE.
 
sasa hivi kimenuka kaka...vyeti feki vimeleta mambo sn...hivyo nafasi zipo wazi inabidi zijazwe haraka maana kazi haziendi kabisa
 
Mtwara wahasibu tumefanya usaili j4 iliyopita,tunasubiri majibu baada ya wiki 3
 
Kbsaa taasisi zote huwa hazisubiri mpk deadline ndio waite..na ndio mana hawaweki majina au kutangaza majina ya walioitwa ktk interview.
 
Kbsaa taasisi zote huwa hazisubiri mpk deadline ndio waite..na ndio mana hawaweki majina au kutangaza majina ya walioitwa ktk interview.
 
Posts gani wameita?
Mtwara technician tayari tarehe 8 & 9 walifanya interview
Tabora nao upande wa technician tarehe hizo nao walifanya interview
Ubungo upande wa engineer trainees tayari wamefanya interview
 
Mtwara technician tayari tarehe 8 & 9 walifanya interview
Tabora nao upande wa technician tarehe hizo nao walifanya interview
Ubungo upande wa engineer trainees tayari wamefanya interview
Tabora Niliomba Upande wa Uhasibu kumbe tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…