Mi naogopa kuota manyoya............Jamani nina shida ya vocha ya Tsh mia tano (500) tu naomba mtu anitumie namba ya vocha. Naihitaji sana ila hapa nilipo siwezi kuipata. Kunihamishia kutoka kwenye simu yako haitafaa. Asante
Yaani wewe na JK hamna tofauti..................mwenzio kasaini jambo huku vitu vingine vimechomekwa ........na wewe hujasoma thread inasemaje ukaanza tu kupostijaman vocha zipo aina nyingi we unataka vocha ya zain, vodacom, tigo au zentel? jibu haraka nikutumie mwanangu
kwani kasema yupo maeneo ya daraja la salenda?Mi naogopa kuota manyoya............
leta namba yako nikupunguziekwani kasema yupo maeneo ya daraja la salenda?
Hawa omba omba wanakuotesha manyoya popote pale............... Salenda ilikuwa mfano na kutuonyesha kwamba wanawezakwani kasema yupo maeneo ya daraja la salenda?
halafu ukitumiwa vocha za jumla ya 500,000 zile za ziada utazirudisha? mjini hapa si unajua.Nimeomba voucher ya VODACOM, niko serious jamani acheni utani, namba sitoi nitumie tou vocha namba kwenye PM ukituma hapa waziwazi washapu wataiwahi. Mia tano tu, si zaidi
mimi nataka nikuPM, HIVYO LETA NAMBA YAKO KWENYE PM yangu.Nimeomba voucher ya VODACOM, niko serious jamani acheni utani, namba sitoi nitumie tou vocha namba kwenye PM ukituma hapa waziwazi washapu wataiwahi. Mia tano tu, si zaidi
Jamani nina shida ya vocha ya Tsh mia tano (500) tu naomba mtu anitumie namba ya vocha. Naihitaji sana ila hapa nilipo siwezi kuipata. Kunihamishia kutoka kwenye simu yako haitafaa. Asante
Yaani wewe na JK hamna tofauti..................mwenzio kasaini jambo huku vitu vingine vimechomekwa ........na wewe hujasoma thread inasemaje ukaanza tu kuposti
Hapo kwenye red.................. haipimwi kwa vochaMh! imekuwa shughuli, yaani no one is feeling generous this friday afternoon jamani? Ni kwa ajili ya kutext
Mh! imekuwa shughuli, yaani no one is feeling generous this friday afternoon jamani? Ni kwa ajili ya kutext