FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
watu mbona mnakuwa hivo mwenzenu kaomba Voda ya 500 nyie mnamwambia TIGO,MALA Zain Vip unataka kujirusha ?
Nimeomba voucher ya VODACOM, niko serious jamani acheni utani, namba sitoi nitumie tou vocha namba kwenye PM ukituma hapa waziwazi washapu wataiwahi. Mia tano tu, si zaidi
halafu ukitumiwa vocha za jumla ya 500,000 zile za ziada utazirudisha? mjini hapa si unajua.
mia tano mia tano zidisha na idadi ya wasamaria wema humu...
weeee utapata nyingi sana........
Nimeomba voucher ya VODACOM, niko serious jamani acheni utani, namba sitoi nitumie tou vocha namba kwenye PM ukituma hapa waziwazi washapu wataiwahi. Mia tano tu, si zaidi
ngumu kuelewa, eti hii nayo ni hoja....si kuna jukwaa la matangazo kule?Hii ndo nini sasa?
watu mnajadili nini hapa? Nielewesheni.