Naomba ukweli kujua Onecoin

Kwa akili hii watanzania wengi watatapeliwa, hujui kuwa DECI ni matapeli wa kimtaifa ambao huweka chambo ktk nduwano, halafu hela ulizo pewa wewe ni za wachangiaji wengine kama wewe, wala sio mtaji wa DECI na serikali walipotaka DECI waonyeshe mtaji wao ilishindikana walikuwa hawana wawo walikuwa wanacheza na michango ya watu wanakusanya kwa watu kumi wanampa mtu mmoja za watu tisa wanagonga.
Andika vizur sentensi zako, inaonekana umekurupuka tu, au ndo kusema ili mrad na ww umeandika tu japo huna unachofahamu


Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Swedish Bitcoin Foundation Issues Warning Against OneCoin
The Swedish Bitcoin Foundation calls OneCoin, a cryptocurrency that has been around since early 2015, “a pyramide”, “a fraud” and warns against dealing with it.

Mats Henricson, the chairman of the Swedish Bitcoin Foundation, wrote in an official statement that the organization believes OneCoin is a fraud and that users who are relatively new to digital currencies and the cryptocurrency industry must be cautious when approaching OneCoin-related programs.

Henricson said:

“OneCoin has grown immensely large and billions have been put into this phenomenon. But OneCoin is not like the other crypto currencies such as Bitcoin.”

He further stated that the technical aspects of the “cryptocurrency” is vulnerable and broken, while the economical side of OneCoin proves its fraudulent “pyramid scheme-like” structure.

He added:

“We therefore conclude that OneCoin is a fraud and therefore call for caution.”

A successful scam?
OneCoin gained serious momentum in late 2015, as users began to invest millions of dollars into the digital currency expecting some sort of guaranteed profits which they were promised. Users were particularly allured by the OneCoin development team, who falsely stated that the cryptocurrency was being utilized by millions of people worldwide.

The cryptocurrency became increasingly popular amongst beginner cryptocurrency enthusiasts and investors who lacked significant knowledge in cryptography in general and the fundamentals of digital currencies.

To begin with, OneCoin is not an open-source software. Despite the OneCoin development team’s claims, none of OneCoin’s codes were released via platforms like Github, most likely due the fear and concerns of the development team that other experts in the field might expose the broken cryptography behind the cryptocurrency.

More importantly, OneCoin is not based on a public ledger. Its transactions can’t be tracked elsewhere and it doesn’t represent decentralization as other cryptocurrencies do, like Bitcoin & Monero. It is even difficult to categorize OneCoin as a cryptocurrency due to its ambiguous structure and its core infrastructure that isn’t based on a public and open Blockchain.

According to Behind MLM, a multi-level marketing research organization, the Onecoin structure can be summarised in three main points:

“The first is a simple recruitment-driven pyramid scheme, backed with a residual binary compensation structure. Affiliates join OneCoin and are then directly compensated on the recruitment of new affiliates, who must spend money on packages to participate in the MLM opportunity.

The second is the whole Aurum Gold Coins schtick, which appears to be an alternative virtual currency to the OneTokens, and are backed by baloney.

The third and most secretive component is the OneCoin token share scheme.”

Positive Reinforcement
The establishment of active cryptocurrency organizations like the Swedish Bitcoin Foundation help the creation and improvement of enhanced ecosystems for both businesses and users in the digital currency industry.

The efforts of the Swedish Bitcoin Foundation in taking the necessary steps to warn local cryptocurrency users against scams and Ponzi schemes should be appreciated and supported by the community.
 
Hayo mengine siyafahamu, ila hili la DECI naona watu wengi wameshindwa kulielewa; kwanza ishu ya DECI hawa jamaa hawakuwa matapeli kabisa mimi ni mmoja wa wanufaika wa mpango ule wa DECI kwa maana nilianza na Tsh. 10,000 nikiwa mwanafunzi wa sekondary na mpaka inafungwa nilikuwa na kiasi kisichopungua Tsh. 500,000 huku nikiwa nimetoa pesa kwa matumizi yangu kiasi kisichopungua Tsh. 200,000.
Sasa ishu pale ilikuwa ni serikali na taratibu zake kwamba jamaa hawakusajiliwa kwa shughuli zile yan walitenda kaz tofauti na usajil wao waliiomba kwa mujib wa serikal lakn mpaka hatua ya mwisho viongoz wa juu wa DECI walijitahid kujitetea lakn wakashindwa
lakin yote ktk yote jamaa hawakuwa matapeli kabisaaa!! Huku kwetu watu wamejenga mijengo ya maana kwaajili ya DECI, Hivyo ukiiponda DECI mm ckuelewi kabisa kwasababu nahifahamu vizur
Hizo zote ni pyramid scheme zikitokea cheza na Time wanaofaidika ni watu wa mwanzoni tu
 
Nimewahi shawishiwa sana kujiunga na jii OneCoine ila nkashtukia mchezo nilipokutana na mwakilishi wake nikagundua ni ujanja ujanja tu,kelele nying sana ila ukimwangalia mwenyewe anaye I market hana maisha hayo anayoyazungumzia .Nilitrace back had shughuli zake ambazo amekua anafanya nkagundua amekua anaanzisha vitaasis kibao vyote vya ujanja ujanja tu
 
Back
Top Bottom