Haya mgeni nishakuwa mwenyeji. Kaizer kinywaji mbona hakifiki? Love u all mlionikaribisha.
Ningekuwa siko na Amyner ningeomba unikabidhi mimiNimekwambia Catherine,
hawana Hela hao.
Bora hata nikupe Shemeji yangu Platozoom.
Ona sasa Kinywaji mpaka leo holaa..!!!
Wanajishaua tu.
Kwanza Kaizer ana wake,
Asikudanganye,njoo kwa shem wangu,
Utakunywa tani yako.