Naomba ukaribisho

Haya mgeni nishakuwa mwenyeji. Kaizer kinywaji mbona hakifiki? Love u all mlionikaribisha.
 
Last edited by a moderator:
Haya mgeni nishakuwa mwenyeji. Kaizer kinywaji mbona hakifiki? Love u all mlionikaribisha.

Nimekwambia Catherine,
hawana Hela hao.
Bora hata nikupe Shemeji yangu Platozoom.
Ona sasa Kinywaji mpaka leo holaa..!!!
Wanajishaua tu.
Kwanza Kaizer ana wake,
Asikudanganye,njoo kwa shem wangu,
Utakunywa tani yako.
 
Last edited by a moderator:
Nimekwambia Catherine,
hawana Hela hao.
Bora hata nikupe Shemeji yangu Platozoom.
Ona sasa Kinywaji mpaka leo holaa..!!!
Wanajishaua tu.
Kwanza Kaizer ana wake,
Asikudanganye,njoo kwa shem wangu,
Utakunywa tani yako.
Ningekuwa siko na Amyner ningeomba unikabidhi mimi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom