Jamani mi mgeni naombeni mnipokee
ahsante gf, ila umenipiga mkwara mpaka nimeanza kuogopa.
Asa Madame B kwa kawaoda mgeni akija si anakaribishws japo kinywaji!? mbona ivo! Lol
Mmh Madame B ebu mwache kwanza mgeni apoze koo, ukitaka tuumbuke walaa wenzio yumeshahakikisha kabisa Catherine ni she wa nguvu .....chezeiya? Habari ya weekend?Hamna lolote,mmeona UserName yake imejitosheleza,
ndo mana mnamhara.
Mbona ID nyingine hamjirambi hvo?
Ntacheka sana nije kugundua ni He alieingia kwa ID ya She,
Mtaumbukajeee...!!!