King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,652
Hahaha JF kila mtu tajiri.Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Hahaha JF kila mtu tajiri.Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Yeah humu tumejaa matajiri....Hahaha JF kila mtu tajiri.
Yeah humu tumejaa matajiri....
Uko sahihi kabisa.Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Nyuma tunapigaga kadogo vyumba viwili na sebuleNi kikubwa kwa kujenga makazi ,maana ukijenga nyumba ya 14m kwa 13m maana hapo mbele kunabaki mita 10 na nyuma mita 6 ,pembeni mita 8 kwa 9 ,space ya kutosha sana!
umetshaaa mateKiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Aliseremaaa alija, witty seremaaaa.....😁umetshaaa mate
Hesabu za viwanja haziendi hivyo kiongozi.Icho kiwanja ni sawa na nusu heka. Maana heka 70×70, sasa wewe 30×30 huoni ni approximately sawa na nusu ya heka 1
Mwanza seremaaaa seremaaaaAliseremaaa alija, witty seremaaaa.....
Ukubwa wa kiwanja hicho unatosha kujenga nyumba mbili mpaka tatuKiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
Hapo unaweza kujenga nyumba mbili zenye ukubwa huo uliowekaNi kikubwa kwa kujenga makazi ,maana ukijenga nyumba ya 14m kwa 13m maana hapo mbele kunabaki mita 10 na nyuma mita 6 ,pembeni mita 8 kwa 9 ,space ya kutosha sana!
Hahahahaha raha eti . . .Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
PerfectUkubwa wa kiwanja hicho unatosha kujenga nyumba mbili mpaka tatu
Kiwanja chenye ukubwa was 30 kwa 30 ni kikubwa wataalamu wa hizi kazi mnisaidie Kuna mtu kanitafutia kiwanja kasema ukubwa ni 30)30
Hicho chako ni 15/26 yaani ni 15 mita by 26 mita yaani ni 390 sq.mts au ni 1526 sq.mts? Fafanua tafadhali.Basi niki kubwa sana! Maana Mimi nina 1526 huko! Naona kama nina nusu kiwanja aisee!
Je ikiwa 35/25 inakuaje mzee nisaidie na mim hapaMiguu 39 mara 39
Ukumbwa gani ft/mtKiwanja chaukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa? Kunamdaa amenitafutia kiwanja nilivyo uliza ukubwa akasema 30/30