Viwanja vya Mchungaji Mlandizi kwa laki mbili sio upigaji?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,050
10,493
Kuna hivi viwanja vinatangazwa sana kuanzia mtaani mpaka kwenye vyombo vya habari vinapatikana Mlandizi bei ni laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa 20 kwa 15 na unapewa kiwanja cha nyongeza endapo utanunua vingi.

Sasa mimi kama kijana mwenye miaka 30+ nina shauku ya kumiliki eneo na hivi viwanja vya laki mbili ni kama fursa adhimu kwa kuzingatia jiji la Dar es salaam linavyokuwa na uhitaji wa maeneo unavyoongezeka basi laki mbili sio kitu.

Je kuna mtu humu jukwaani alishanunua kiwanja kwa Mchungaji Mlandizi? Je havina changomoto yoyote?
 
Kuna hivi viwanja vinatangazwa sana kuanzia mtaani mpaka kwenye vyombo vya habari vinapatikana Mlandizi bei ni laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa 20 kwa 15 na unapewa kiwanja cha nyongeza endapo utanunua vingi.

Sasa mimi kama kijana mwenye miaka 30+ nina shauku ya kumiliki eneo na hivi viwanja vya laki mbili ni kama fursa adhimu kwa kuzingatia jiji la Dar es salaam linavyokuwa na uhitaji wa maeneo unavyoongezeka basi laki mbili sio kitu.

Je kuna mtu humu jukwaani alishanunua kiwanja kwa Mchungaji Mlandizi? Je havina changomoto yoyote?
Mchungaji gani huyo??
 
Wabongo wanapenda sana virahisi
Wakisikia bei mterezo lazima wajae
Na hapo ndipo wanapo patikana

Ova
 
H
Kuna hivi viwanja vinatangazwa sana kuanzia mtaani mpaka kwenye vyombo vya habari vinapatikana Mlandizi bei ni laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa 20 kwa 15 na unapewa kiwanja cha nyongeza endapo utanunua vingi.

Sasa mimi kama kijana mwenye miaka 30+ nina shauku ya kumiliki eneo na hivi viwanja vya laki mbili ni kama fursa adhimu kwa kuzingatia jiji la Dar es salaam linavyokuwa na uhitaji wa maeneo unavyoongezeka basi laki mbili sio kitu.

Je kuna mtu humu jukwaani alishanunua kiwanja kwa Mchungaji Mlandizi? Je havina changomoto yoyote?
Hivyo vyaweza kuwa viwanja vya upako,angalia kwani baadae utatakiwa kikitoa tena sadaka😄
 
Kuna hivi viwanja vinatangazwa sana kuanzia mtaani mpaka kwenye vyombo vya habari vinapatikana Mlandizi bei ni laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa 20 kwa 15 na unapewa kiwanja cha nyongeza endapo utanunua vingi.

Sasa mimi kama kijana mwenye miaka 30+ nina shauku ya kumiliki eneo na hivi viwanja vya laki mbili ni kama fursa adhimu kwa kuzingatia jiji la Dar es salaam linavyokuwa na uhitaji wa maeneo unavyoongezeka basi laki mbili sio kitu.

Je kuna mtu humu jukwaani alishanunua kiwanja kwa Mchungaji Mlandizi? Je havina changomoto yoyote?
Ungefika huko kwenye hivyo viwanja ndo ungeona hali ilivyo unavyofikili ni hapo mlandizi ukishuka unafika kwenye viwanja fika ndo ujionee ukifika hata ukiambiwa kwa laki moja sizani kama utanunua ni mlandizi karibia na kisarawe ndani ndani
 
Havipo Mlandizi.
Mlandizi hakuna viwanja cha bei rahisi hivyo.
Hilo tangazo ni la utapeli, sehemu viwanja vilipo na Mlandizi ni mbali sana.
Hayo ni maneno ya mashambani/vijijini ambako eka moja unaweza kupata kwa laki 4.
 
Kuna hivi viwanja vinatangazwa sana kuanzia mtaani mpaka kwenye vyombo vya habari vinapatikana Mlandizi bei ni laki mbili kwa kiwanja chenye ukubwa wa 20 kwa 15 na unapewa kiwanja cha nyongeza endapo utanunua vingi.

Sasa mimi kama kijana mwenye miaka 30+ nina shauku ya kumiliki eneo na hivi viwanja vya laki mbili ni kama fursa adhimu kwa kuzingatia jiji la Dar es salaam linavyokuwa na uhitaji wa maeneo unavyoongezeka basi laki mbili sio kitu.

Je kuna mtu humu jukwaani alishanunua kiwanja kwa Mchungaji Mlandizi? Je havina changomoto yoyote?
Pumbavuu,
1) Mlandizi ipi?
2) Huo ukubwa ni vipimo vya hatua, mita au futi?
3) Mchungaji gani?

Weka taarifa zilizojitosheleza
Pumbavuu..!!! Watoto wa Juzi JF mmeiharibu sana hili jukwaa sababu tu ni free kujiunga na hakuna vetting.
 
Hivyo viwanja usishangae viko umbali wa 15km kutoka barabara kuu ya Morogoro,

Sasa hapo hata hiyo 200k bado unapigwa , Mpaka kuje kuwa mji ni mtoto wa mjukuu wako anakaribia kuoa
 
Back
Top Bottom