Sina ujuzi na kipimo hikiJe ikiwa 35/25 inakuaje mzee nisaidie na mim hapa
Sqm 900 mkuu30 kwa 30 ni sawa na SQUARE METER ngapi??
Ni kikuhwa sana kwa ujenzi wa mjini. Lakini kama unataka na shamba la mihogo au ndizi basi hapatoshi.Kiwanja chaukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa? Kunamdaa amenitafutia kiwanja nilivyo uliza ukubwa akasema 30/30
milioni 20?Weka bei na location, isije ikawa kiko msata bei milioni 20 itakuwa kidogo ila kama ni mjini ni sawa
Ni kIkubwa na wala huwezi kukijaza hata nyumba tatu zinakaa.Hapana nimemwambia kiuhalisia 30*30 ni kiwanja kikubwa sana....
Kama anataka cha kulima Mpunga ni kidogo sana30m kwa 30m kimjini mjini sio mbaya ikitegemea na plan zako za matumizi ya hicho kiwanja!
Kiko wapimilioni 20?
😂😂😂😂😂😂😂 maana wana jf wanamiliki heka tu sio hivyo vya 30*30Kiuhalisia ni kikubwa mnoooo, ila kijf ni kidogo sana ni mahali pa kujenga banda la mbwa tu....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama anataka cha kulima Mpunga ni kidogo sana
Green house🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hata hivyo, kwa kilimo cha kisasa panatosha.
OK basi ni kiwanja kikubwa hivyo ni unaweza kuweka mambo mengi humo11526 square meter
Sqmt 90030 kwa 30 ni sawa na SQUARE METER ngapi??
Kwa mfano rahisi unaweza kadiria uwanja wa nyumba 2 za national housing kama za migomigo au kinondoniHicho ni sqm 900
Liwanja chochote kuanzia sqm 600 ni kikubwa hicho na kwa ajili ya makazi kinafaa sana sana
Sawa kabisa. Mbona kuna watu wanakaa apartments hamna hata njeKiwanja cha mita 18×18 ukijenga nyumba ya mita14×13 itakuwa sawa kweli? Au ndo mbanano.
Sawa mkuuSawa kabisa. Mbona kuna watu wanakaa apartments hamna hata nje
Philippines nyumba zao nje wanaacha mita 2 tu