Facebook imehamia JF ,JF 2014 kurudi nyuma ukileta hoja au swali unapata ufumbuzi, JF ulikua uruhusiwi hata kuandika kwa mkatoIcho chenye 1.4.3. Maana Yake hakuna Mimba, icho chenye 1.4.2. Positive Kitu kimetiki,icho chenye 1.4.1. Inconclusive.
Vipi Kuna Lingine?
Nadhani hapo kila mstari mmoja unawakilisha 100mZipo aina mbili za hivyo ila rangi tofauti
Hizo ni countdown kufika Lever crossing
Na zile za blue ni countdown kufika next junction
Sijui nimeeleweka
Ndio ila sio zebraNadhani hapo kila mstari mmoja unawakilisha 100m
Kwahiyo ukiona hivyo unajua kabisa bado mita kadhaa kufika kwenye zebra crossing au junction kulingana na rangi
Hii inasimama kwenye makutano ya reli na barabara huku ikiwakilisha mita 300 mita 200 na mita 100.Ndio ila sio zebra
Zebra hakuna alama inayokuambia bali exit za motorway au lever crossing tu
Ila upo sahihi ni mita 300 kwa jumla
Bongo siku hizi hizi alama sio nyingi sana. Ila ni za makutano ya reli na barabara na hizo mark 3 zinawakilisha mita mia 300 nikiwa 2 mita 200 moja mita 100Habari wa jamvi nimekutana na swali kwenye usaili sehemu fulani nikabaki nashangaa maana sijawahi Kutana nayo kwenye barabara za Tanzania sasa naomba mwenye kujua atusaidie wengine tuelimimike pitia hapo chini
View attachment 2312353
Highway codes hizoH
Hii inasimama kwenye makutano ya reli na barabara huku ikiwakilisha mita 300 mita 200 na mita 100.
AISEEE, HATA MI NINGEFELI HAPABongo siku hizi hizi alama sio nyingi sana. Ila ni za makutano ya reli na barabara na hizo mark 3 zinawakilisha mita mia 300 nikiwa 2 mita 200 moja mita 100