umesema mjini inawezekana maana mifoleni! ingekuwa highway anetoka Dar mpaka dodomaHii ni sawa kwa gari lenye 1290CC, kutembea 220 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali.
Huyo VWHii ni sawa kwa gari lenye 1290CC, kutembea 220 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali.
Mkuu kwa Dar inawezekana kwa vile mimi navyoona.Hii ni sawa kwa gari lenye 1290CC Tena toyota kutembea 230 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali tujuzane, au iko sahihi.
Asije kiduku lilo
Gari ukiweka fuel ya 50,000 unapata lita ngapi? Kuna gari ina CC 1300? Ni ya kufanyia nini hiyo gari? Au unaamanisha chombo cha usafiri? Ukipata hata mil 50,000,000 nunua gari ndogo uenjoy. Achana na hicho kidude unachotumia sasa.Hii ni sawa kwa gari lenye 1290CC, kutembea 220 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali.
Mwambie rafiki yako aachane na mambo ya magari, hayawezi kabisa atafute pikipiki tu!Hii ni sawa kwa gari lenye 1290CC, kutembea 220 KM, mjini na AC ikiwa ON kwa mafuta ya elfu hamsini, Rafiki anauliza hii no sawa au kuna tatizo mahali.