HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Wanabodi moja ya majukumu makubwa ya baraza la kata ni kutatua migogoro ya ardhi. Upande ambao haujaridhika na maamuzi ya baraza la kata hukata rufaa baraza la ardhi na nyumba la wilaya.
Maswali yangu ni kama yafuatayo;
1. Je baraza la kata husikiliza migogoro ya ardhi na nyumba peke yake au pamoja na migogoro mingine ?
2. Endapo baraza la kata pia husikiliza migogoro mingine, je upande usiokubaliana na maamuzi ya kata utapeleka rufaa yake katika chombo gani?
Maswali yangu ni kama yafuatayo;
1. Je baraza la kata husikiliza migogoro ya ardhi na nyumba peke yake au pamoja na migogoro mingine ?
2. Endapo baraza la kata pia husikiliza migogoro mingine, je upande usiokubaliana na maamuzi ya kata utapeleka rufaa yake katika chombo gani?