Mtoto wa Golden Paste
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 166
- 119
Kuna kijana ambaye nilimpatia pikipiki kwa makubaliano ya kuleta shilingi elfu 10 ndani ya miezi 11 kisha akimaliza hapo pikipiki itakuwa rasmi ni mali yake, lakini imekuwa tofauti kama mkataba ulivyokuwa unasema. Mkataba ulikuwa unasema asipoleta marejesho ndani ya wiki moja basi nitachukua pikipiki.
Swali; Je,kuna ulazima wa kwenda tena ofisi ya Kijiji tulipoandikishana ili kuvunja mkataba ama nimechukua chombo changu inatosha, mkataba ulivyokuwa unasema?
Swali; Je,kuna ulazima wa kwenda tena ofisi ya Kijiji tulipoandikishana ili kuvunja mkataba ama nimechukua chombo changu inatosha, mkataba ulivyokuwa unasema?