Hassan malika
Member
- Oct 15, 2020
- 36
- 24
Habari wana JF,
Naomba kufahamishwa kuhusu kozi ya Bsc in Range Management inayotolewa pale SUA inahusu nini?
Naomba kufahamishwa kuhusu kozi ya Bsc in Range Management inayotolewa pale SUA inahusu nini?
Asante sana mkuu, ubarikiweKwa kiswahili afisa malisho.inahusu malisho ya mifugo.
Ndio mkuu niliweka tu chaguo la tano nilijua hawatonichagua huko!Umechaguliwa?
Range ndio kulisha mifugo au alimaanisha ranch?Kwa kiswahili afisa malisho.inahusu malisho ya mifugo.
Mkuu hyo koz wanasoma equivalents ndio wengi na most of them ni employed ww kama ni form six liver trust me hapo u will be wastin ur tym kama umefaulu vyema omba kubadili cozHabari wana JF,
Naomba kufahamishwa kuhusu kozi ya Bsc in Range Management inayotolewa pale SUA inahusu nini?
Ya kwanza na ya pili uliweka ipi...?Ndio mkuu niliweka tu chaguo la tano nilijua hawatonichagua huko!
Nakushauri ukifika chuo ubadili hiI
Mkuu unamaanixha nn unavyosema equivalent ndio wengi? Af mkuu vp hiyo kozi na education ukikompare for now days?Nakushauri ukifika chuo ubadili hiyo kozi
Mkuu hyo koz wanasoma equivalents ndio wengi na most of them ni employed ww kama ni form six liver trust me hapo u will be wastin ur tym kama umefaulu vyema omba kubadili coz
Ni range mkuu na sio ranch!Range ndio kulisha mifugo au alimaanisha ranch?
Mimi nilivyoona neno range nikajua ni mambo ya uwindaji kwa kutumia silahaNi range mkuu na sio ranch!
Mara mia na education mkuu... Equivalent ni wenye diploma ndugu na mostly wanaosoma na wenye diploma za mifugo au range yenyewe... Bora hata education ukiwa mjanja hutakufa njaa ila hyo range kwa ushauri wangu dont persue it...Mkuu unamaanixha nn unavyosema equivalent ndio wengi? Af mkuu vp hiyo kozi na education ukikompare for now days?
Bora uchange na ulipie hyo hela kuliko umalize chuo kazi hupati,una mwambia mtu umesoma Range atakuelewa. Mleta mada akifika chuo abadilisheNilisikia kuchange kozi hasa pale SUA ni very complication also unalipia 50,000
Sawa mkuu nimekuelewa lakini nasikia ukichange coz mzigo wa loan unasumbua kuhamisha mkuu!Mara mia na education mkuu... Equivalent ni wenye diploma ndugu na mostly wanaosoma na wenye diploma za mifugo au range yenyewe... Bora hata education ukiwa mjanja hutakufa njaa ila hyo range kwa ushauri wangu dont persue it...
Tuanze na ww mwenyewe kwanza, je unaipenda hiyo kozi?Sawa mkuu nimekuelewa lakini nasikia ukichange coz mzigo wa loan unasumbua kuhamisha mkuu!
Sikuwahi kuifikiria na nilijaza chaguo la mwisho kwaajili ya kufill space, datz y nimekuja hapa nipate mwanga about dis coz mkuu!
Sawa mkuu, shukraniKapambane ubadili hy course,ikishindikana acha utaomba upya mwakani....nange mngt, animal health sio nzuri sana kwa freshers.