Naomba ufafanuzi kuhusu ajira za Migodini (Machimbo ya Madini)

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Feb 9, 2019
859
1,012
Kutokana na ugumu wa maisha ninaoupitia kwangu natamani ni hata nisafiri niende kwenye machimbo ya madini (migodi) Ila tatizo kwa upande wangu umbali wa mkoa kutoka ninapoishi na mahala migodi ilipo;

Na kwa wastani nauli kufika huko yaani (Geita, Melelani nk ni umbali mrefu ambao unaweza ukagarimu hata 35,000 kwenda tuu mpaka 40,000.

Hivyo nilichokuwa nakiomba kabla ya kuchukua uamuzi wowote ule ni vyema kwanza nipate elimu ya kutosha kuhusu ajila ndani ya (Migodi).

Vipi naweza pata ajila, nini vigezo ninavyopaswa niwe navyo kama mchimba midini,.

Na vipi kuhusu malipo na zipi CHANGAMOTO zake.

Mwenye uelewa zaidi anifahamishe kuhusu AJIRA ndani ya migodi,.

Kalibuni nyooote
 
hilo wala sio tatizo ndugu yangu
Sasa kama unaweza kutoa kafara unasubiri nini? Mbona kuna kazi nzuri tu zenye hadhi, utajiri wako ni kafara tu. Maagano ya kiimani katika ulimwengu wa Giza(damu) Njoo PM nikuunge na jamaa yupo songea anajua wataalam gan wenye “ndagu” bora


Kuna vijana wadogo huko songea wana maisha bora...
 
Sasa kama unaweza kutoa kafara unasubiri nini? Mbona kuna kazi nzuri tu zenye hadhi, utajiri wako ni kafara tu. Maagano ya kiimani katika ulimwengu wa Giza(damu) Njoo PM nikuunge na jamaa yupo songea anajua wataalam gan wenye “ndagu” bora
Nimeshindwa kukuPM kwa sababu wananiambia sina ruhusa ya kufanya hivyo

Kuna vijana wadogo huko songea wana maisha bora...
 
Sasa kama unaweza kutoa kafara unasubiri nini? Mbona kuna kazi nzuri tu zenye hadhi, utajiri wako ni kafara tu. Maagano ya kiimani katika ulimwengu wa Giza(damu) Njoo PM nikuunge na jamaa yupo songea anajua wataalam gan wenye “ndagu” bora
Nimeshindwa kukuPM kwa sababu wananiambia sina ruhusa ya kufanya hivyo

Kuna vijana wadogo huko songea wana maisha bora...
 
Sasa kama unaweza kutoa kafara unasubiri nini? Mbona kuna kazi nzuri tu zenye hadhi, utajiri wako ni kafara tu. Maagano ya kiimani katika ulimwengu wa Giza(damu) Njoo PM nikuunge na jamaa yupo songea anajua wataalam gan wenye “ndagu” bora


Kuna vijana wadogo huko songea wana maisha bora...
Mshana Jr ana wafuasi wengi sana JF..
 
Sasa kama unaweza kutoa kafara unasubiri nini? Mbona kuna kazi nzuri tu zenye hadhi, utajiri wako ni kafara tu. Maagano ya kiimani katika ulimwengu wa Giza(damu) Njoo PM nikuunge na jamaa yupo songea anajua wataalam gan wenye “ndagu” bora


Kuna vijana wadogo huko songea wana maisha bora...
ha ha ha
 
Kutokana na ugumu wa maisha ninaoupitia kwangu natamani ni hata nisafiri niende kwenye machimbo ya madini (migodi) Ila tatizo kwa upande wangu umbali wa mkoa kutoka ninapoishi na mahala migodi ilipo;

Na kwa wastani nauli kufika huko yaani (Geita, Melelani nk ni umbali mrefu ambao unaweza ukagarimu hata 35,000 kwenda tuu mpaka 40,000.

Hivyo nilichokuwa nakiomba kabla ya kuchukua uamuzi wowote ule ni vyema kwanza nipate elimu ya kutosha kuhusu ajila ndani ya (Migodi).

Vipi naweza pata ajila, nini vigezo ninavyopaswa niwe navyo kama mchimba midini,.

Na vipi kuhusu malipo na zipi CHANGAMOTO zake.

Mwenye uelewa zaidi anifahamishe kuhusu AJIRA ndani ya migodi,.

Kalibuni nyooote
Habari ndugu, unaitaji kufanya kazi mgodini lakini hujafafanua elimu yako ni level gani, napia unatakiwa kutambua kua kuna large scale mine na small scale mine sasa sijui ni ipi unazungumzia.
Kama ni Large Scale Mine hua wana tangaza nafasi za kazi kama kuna uhitaji, na kazi zenyewe ni kama Engineering,Geologist, HR, Finance, Process Engineering, Environmental na kadhalika,
Kuhusu mishahara sio ya kitoto ni mikubwa kulingana na Elimu uliyonayo na nafasi (Cheo).
Kuhusu Small scale mine inabidi uwe na Chanel ya mtu unayemfaham yaani apo kwa wachimbaji wadogowadogo na vigezo hakuna Elimu ni nguvu ndio zinazohitajika yaani ndio mtaji wako.
Mengine zaidi unaweza kuniuliza ili nikufafanulie zaidi.
Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu, unaitaji kufanya kazi mgodini lakini hujafafanua elimu yako ni level gani, napia unatakiwa kutambua kua kuna large scale mine na small scale mine sasa sijui ni ipi unazungumzia.
Kama ni Large Scale Mine hua wana tangaza nafasi za kazi kama kuna uhitaji, na kazi zenyewe ni kama Engineering,Geologist, HR, Finance, Process Engineering, Environmental na kadhalika,
Kuhusu mishahara sio ya kitoto ni mikubwa kulingana na Elimu uliyonayo na nafasi (Cheo).
Kuhusu Small scale mine inabidi uwe na Chanel ya mtu unayemfaham yaani apo kwa wachimbaji wadogowadogo na vigezo hakuna Elimu ni nguvu ndio zinazohitajika yaani ndio mtaji wako.
Mengine zaidi unaweza kuniuliza ili nikufafanulie zaidi.
Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsnte kwa ufafanuzi ila mimi kama mimi na watanzania tulio wengi tupo hapa
((((Small scale mine))
Na ((inabidi uwe na Chanel))) ndo tatizo langu ndio maana nikakimbilia humu
 
Ahsnte kwa ufafanuzi ila mimi kama mimi na watanzania tulio wengi tupo hapa
((((Small scale mine))
Na ((inabidi uwe na Chanel))) ndo tatizo langu ndio maana nikakimbilia humu
Geita ndo migodi midogo ni mingi na wanahila daily na pia hata kwenye ma elution unaweza kupata kazi hata ya kuchoma au kulipua geita elution kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Geita ndo migodi midogo ni mingi na wanahila daily na pia hata kwenye ma elution unaweza kupata kazi hata ya kuchoma au kulipua geita elution kibao

Sent using Jamii Forums mobile app

Naomba unisaidie hapa;~
Geita mahala gani na nawezaje fika hapo?
Vipi kuhusu vigezo na wapi pa kuanzia?
Nini na nini kinahitajika niwe nacho?
 
Naomba unisaidie hapa;~
Geita mahala gani na nawezaje fika hapo?
Vipi kuhusu vigezo na wapi pa kuanzia?
Nini na nini kinahitajika niwe nacho?
Ukifika tu geita mjini Kuna sehemu inaitwa mpomvu au mgusu ,nyarugusu, katoro Kuna sehemu Kuna makaracha na plant kazi Ni nguvu yako tu ,Kuna za deiwaka ukibahatika unaweza kupata za jumla
 
Ukifika tu geita mjini Kuna sehemu inaitwa mpomvu au mgusu ,nyarugusu, katoro Kuna sehemu Kuna makaracha na plant kazi Ni nguvu yako tu ,Kuna za deiwaka ukibahatika unaweza kupata za jumla
Wacha tu nikwambie akhsante maana sina cha kukupa zaidi ya hiko
 
Back
Top Bottom