Nenda kwenye balozi hizi mimi nafukuzia ya canada mkuu kama nikipata ntakupa mrejesho ilazipoo na watu wanapata tena full fundedWakuu kama heading inavyojieleza,
Kijana wenu naomba kujuzwa kama Kuna mtu binafsi, shirika, kampuni, ama taasisi yeyote inayodhamini elimu ya juu especially kada ya afya.
Thanks![]()
Zipo.Wakuu kama heading inavyojieleza,🙄
Kijana wenu naomba kujuzwa kama Kuna mtu binafsi, shirika, kampuni, ama taasisi yeyote inayodhamini elimu ya juu especially kada ya afya.
Thanks 👏
umeshapata?? kama hujapata leo wametoa.Nenda kwenye balozi hizi mimi nafukuzia ya canada mkuu kama nikipata ntakupa mrejesho ilazipoo na watu wanapata tena full funded
Sijapata bado mkuuumeshapata?? kama hujapata leo wametoa.
Huyu Bwana amefariki lini jameni?Zipo.